Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

December 12, 2025

Ilinde biashara dhidi ya husda na mikosi

December 12, 2025

Fanya hivi kuvutia fursa mpya za kazi

December 12, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.
  • Ilinde biashara dhidi ya husda na mikosi
  • Fanya hivi kuvutia fursa mpya za kazi
  • WASHINDI WA MAWAZO BUNIFU WANAZUONI TAASISI YA UHASIBIU TIA KUFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO NJE YA NCHI
  • “KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”
  • Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza
  • MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI
  • Mama Ashikiliwa Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mtoto Wake wa Miaka 10
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.
Habari za Kitaifa

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 12, 2025Updated:December 12, 2025No Comments14 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Na Mwandishi Wetu, Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Benno Malisa amewaalika wawekezaji kuwekeza katika mkoa wa Mbeya kwenye fursa za Biashara, Usafirishaji, Viwanda, Ufugaji, Utalii na uwekezaji kwenye mifumo ya Kidijitali.

RC Malisa ameyasema hayo kwenye mahafali ya 23 ya Taasisi ya Uhasibu TIA Kampasi ya Mbeya kwenye kilele cha mahafali ya Taasisi hiyo.

Jumla ya wahitimu 1480 wa ngazi mbalimbali ya vyeti, Astashahada na Shahada wamehitimu katika Taasisi hiyo.

“Nitumie fursa hii kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza mkoani kwetu kwenye miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea, imeongeza mvuto wa uwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi” Amesema RC Malisa.

Aidha RC Malisa amesema mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa yenye fursa kwenye ubunifu na ukuaji wa kibiashara hivyo wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu wanapaswa kuitumia fursa hiyo kwa nia ya kuanzisha safari yao ya ubunifu na ujasiriamali.

Amewataka wahitimu wa Taasisi hiyo kuwa wabunifu kwa kutengeneza mawazo na suluhisho wenye ubunifu ili kuibua changamoto zilizopo katika jamii.

Pia RC Malisa amewataka wahitimu kutumia teknolojia kwa tija ili teknlolojia ibebe biashara, mawazo na huduma wanazozitoa na kutakiwa kuitumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujipatia kipato.

Awali akizungumza wakati akimlaribisha mgeni rasmi, Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA Prof William Pallangyo Taasisi ya Uhasibu Tanzania imeanzisha kozi mpya tatu za masomo ya juu (Post Graduate),Ngazi za Shahada(Bachelor degree)ili kuendana na soko la ajira lililopo kwa sasa nchini.

Amesema mkoani Mbeya Taasisi ya Uhasibu Tanzania imeanzisha Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Uhasibu wa Fedha, Shahada ya Uzamili ya Sayansi katika Ununuzi na Ugavi, Shahada ya Uzamili ya Uongozi wa Biashara katika Usimamizi wa miradi, Shahada ya Uongozi wa Rasilimali watu na Shahada ya Biashara.

Prof Pallangyo amesema Kozi zilizozinduliwa na RC Malisa katika mahafali ha hayo ni fursa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya, mikoa ya jirani na nchi jirani za Malawi na Zambia.

Aidha Prof Pallangyo amesema kubwa katika kuwa kuwaendeleza wanachuo kupitia kitengo cha Uendelezaji wanachuo kitaalamu na kitaaluma wameandaa shindano la Ubunifu, mshindi wa kwanza kutoka kila Kampasi kwa mwaka 2025-26 atapata fursa kutembelea Chuo kikuu cha Pretoria Nchini Afrika Kusini kwa ajili ya ziara ya kimafunzo na kujipatia uzoefu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI

December 9, 2025

TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS

December 8, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025251

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024208

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025130
Don't Miss
Habari za Kitaifa

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

By Mbeya YetuDecember 12, 202514

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Benno Malisa amewaalika wawekezaji kuwekeza katika…

Ilinde biashara dhidi ya husda na mikosi

December 12, 2025

Fanya hivi kuvutia fursa mpya za kazi

December 12, 2025

WASHINDI WA MAWAZO BUNIFU WANAZUONI TAASISI YA UHASIBIU TIA KUFANYA ZIARA YA KIMAFUNZO NJE YA NCHI

December 11, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MAHAFALI YA 23 YA TAASISI YA UHASIBU TIA KAMPASI YA MBEYA, RC MALISA AWAALIKA WAWEKEZAJI MKOANI MBEYA.

December 12, 2025

Ilinde biashara dhidi ya husda na mikosi

December 12, 2025

Fanya hivi kuvutia fursa mpya za kazi

December 12, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025251

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024208
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.