Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii sana, lakini kila hatua niliyopiga, kila wazo nililolenga kuleta maendeleo, lilikuwa likipingwa. Bosi wangu alianza kunichukulia vibaya bila sababu yoyote iliyoonekana.
Kila mara nilipokosa kutimiza matarajio yake ya kisichokuwa cha kawaida, nilikuwa napata lawama zisizo na mwisho. Nilijaribu kuzungumza naye, kuelezea hali yangu, lakini alionekana kuwa na hisia za kibinafsi dhidi yangu. Nilijiona nikipoteza heshima yangu kazini.
Hali ilizidi kuwa mbaya. Kila siku nilipokuwa kazini, moyo wangu ulikuwa mzito. Nilijaribu kila njia ya kawaida kumshawishi, lakini hakutaka kubadilika. Nilijaribu hata kushauri wengine kazini, lakini walikuwa na hofu ya kuingilia kati. Soma zaidi hapa

