Author: Mbeya Yetu

#MbeyaYetuTv
Mfanyabiashara mkubwa wa Madini aina ya dhahabu wilayani Chunya mkoani Mbeya amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya pamoja na wafanyabiashara wenzie wanne wakikabiliwa na kosa la uhujumu wa Uchumi, Kutakatisha fedha, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kupatikana na Madini aina ya Dhahabu kinyume cha sheria,.

Read More