Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
- MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
- MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
Author: Mbeya Yetu
Wananchi wa Kata ya Itewe, wilayani Chunya, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake katika ujenzi wa daraja jipya ambalo limeboresha miundombinu na kurahisisha usafiri katika eneo hilo. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mheshimiwa Juma Zuberi Homera, amepongeza Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wananchi.
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya UWSA), kupitia Mwenyekiti wa Bodi yake, Bi. Edna Mwaigomole, imekabidhi tenki la maji lenye ujazo wa lita 5,000 kwa Shule ya Sekondari ya Wanawake Tulia, iliyopo Iyunga, Jijini Mbeya.
Hatua hii imekuja baada ya shule hiyo kuwasilisha ombi la msaada wa maji, na mamlaka hiyo kusikia kilio chao. Utoaji wa tenki hilo unalenga kuboresha upatikanaji wa maji safi shuleni hapo, hivyo kusaidia mazingira bora ya kujifunza kwa wanafunzi.
Akizungumza wakati wa makabidhiano, Bi. Mwaigomole alisisitiza dhamira ya Mbeya UWSA ya kuendelea kushirikiana na jamii katika kuhakikisha huduma bora za maji zinapatikana kwa taasisi mbalimbali, hususan shule.
Uongozi wa shule hiyo umeishukuru Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya kwa msaada huo muhimu, wakibainisha kuwa utapunguza changamoto ya maji na kuboresha afya na ustawi wa wanafunzi.
Na Mwandishi wetu, Tanga Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki kutoa huduma bora kwa wananchi watakaojitokeza katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotaraji kuanza Februari 13 hadi 19, 2025 katika mikoa ya Tanga na Pwani. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taiofa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele wakati alipotembelea mafunzo ya siku mbili ya waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya Bayometriki katika Halmashauri za Jiji la Tanga, Mji wa Korogwe pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe vijijini. “Ninawasihi muwahudumie…
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ametembelea shule ya mchepuo wa Kiingereza ya Holly Land iliyopo Mamlaka ya Mji Mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.
Lengo la kutembelea shule hiyo ni kuipongeza kwa matokeo mazuri tangu kuanzishwa kwake na uwekezaji mkubwa wa Lawena Nsonda(Baba Mzazi).
Aidha amewataka wazazi Mkoani Mbeya kuwapeleka watoto shuleni hapo badala ya kuwapeleka mbali kwani shule ina huduma nzuri na malezi mazuri.
Kwa upande wake Lawena Nsonda (Baba Mzazi) ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fursa kwa wawekezaji nchini wakiwemo wamiliki wa Shule.
Shule ya Holly Land ni moja ya shule bora zinazofa vema Kiwilaya,Kimkoa na Kitaifa.
Heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika. Natambua wakubwa wenzangu tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja wetu wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu. Binafsi niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi wazi ataenda nje ya ndoa yetu. Jina langu ni Rashid…