Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
- MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
Author: Mbeya Yetu
CHUNYA YAFIKIWA NA MKONGA WA TAIFA WA MAWASILIANO Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea Kituo cha mkonga wa Taifa cha mamlaka ya mji mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya kilichojengwa kwa lengo la kuboresha mawasiliano na ili kuongeza ufanisi kwa watendaji wa serikali katika makusanyo ya Serikali. Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza fedha nyingi kwenye miundombinu ya mawasilano kupitia ujenzi wa vituo mkongo wa taifa nchikavu na baharini, ambapo amesema kupitia uwekezaji huo Wilaya 139 nchini zitanufaika na huduma ya mkongo wa Taifa hivyo…
Naitwa Amida, msichana wa miaka 26, mkazi wa Tanga, Tanzania, nilikutana na huyu kijana ofisi yetu iliipa tenda ofisi yao, mimi ndio bosi pale ofisini, tulijenga urafiki na mwisho wa siku tukaishia kuwa wapenzi tuliopenda sana. Nakumbuka penzi lilienda vizuri hadi ikafika hatua tukakubaliana kutambulishana kwa wazazi, alinitambulisha kwa kaka yake ambae alidai ndio mlezi wake kwa sababu yeye ni yatima. Niliwaandaa familia yangu kuupokea ugeni, na kweli alikuja na jopo la watua, akatoa posa, na majibu ya posa yalirudishwa kuwa amepokelewa hivyo taratibu nyingine ziendelee. Sasa wakati tunasubiria walete mahari, yule kijana akaanza kuniomba vitu vingi akidai amekwama, nilimsaidia…
Jumla ya Wilaya 139 Nchini zita fikiwa na huduma ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na mpaka sasa Wilaya 108 tayari zimefikiwa huku Wilaya 31 zilizosalia nazo zikitarajiwa kupata huduma ya mkongo wa Taifa ifikapo mwezi Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi wakati akihitimisha ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Pwani alipo tembelea na kukagua Vituo Vya Mkongo vilivyopo Chalinze, pamoja na kituo kipya Cha Mkongo wa Taifa kilicho jengwa Kibaha .
Aidha, Mhe. Mahundi amempongeza na kumshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna anavvyo endelea kuiwezesha Sekta hii ya Mawasiliano apa Nchini Kwa kuendelea kuwekeza fedha nyingi katika Shirika la mawasiliano apa Nchini ( TTCL) na kuahakikisha Shirika linakuwa kibiashara pamoja na kuifanya Tanzania kuwa ya kidijitali isibaki kama Kisiwa.
Vilevile, Mhe Mahundi ameeleza kuwa Serikali tayali imetenga fedha Kwa ajili ya ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kuelekea Nchi jiran ya Congo (DRC) kupitia Ziwa Tanganyinga hadi Kalemei na tayali Utekelezaji wake umeshaanza na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka mradi huu utakuwa umekamilika.
Sambamba na hayo, Mhe.Mauhidi amaeleza kuwa kazi kubwa inaendelea kufanyika katika uwekezaji wa Mkongo wa Taifa ikiwa ni pamoja na Kuunganisha Mkongo wa Taifa na Mikongo ya Baharini, kupitia SEACOM, EASSY na 2AFRICA, na kwakuzingatia tunajenga Tanzania ya dijitali tunaunganisha Mkongo wa Taifa na Mikongo ya Baharini iliyopo Mombasa Kenya kupitia HorohoroTanga. Na hii itasaidia kuongeza uhakika wa huduma ya Mawasiliano Nchini.
Endapo mkongo wa Taifa wa Mawasiliano utakamilika utapanua wigo kibiahara ndani na nje ya nchi na kuongeza uchumi wa kidijitali.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Mbunge Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Dkt. Tulia Ackson ametoa Msaada wa Kumsomesha Yohana Japhet anayeishi Kwenye Mazingira Magumu.
Yohana anayeishi na Bibi yake Mlezi Katika Kata ya Ilomba Mtaa wa Ituha Mbeya Mjini anasoma Darasa la Saba hapo awali alikuwa akifanya Kazi ya Kuponda Kokoto Ili apate Fedha Kwaajili ya kununua Mahitaji Mbalimbali ya Shule na Chakula.
Mhe. Dkt. Tulia Ackson amemtembelea Kijana huyo na Kuahidi Kumsomesha hadi atakapofikia ukomo wa Masomo yake pia amemsaidia Bibi yake Chakula (Mchele Kilo 40) na Mavazi (Nguo na Blanket).
Jina langu ni Halima, nimekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano sasa, hakika naweza kusema mimi ni miongoni mwa wanawake ambao wamefaidi matunda ya ndoa vilivyo, sijawahi kukumbana na kadhia yoyote ile. Watu wengi husema kuwa ndoa ni ngumu na hii ni kutokana na wanaume wengi kutokuwa waaminifu katika ndoa zao kwani baada ya kipindi fulani huanza kutafuta wanawake wengine wa nje kwa madai ya kubadilisha ladha. Lakini pia hata baadhi ya wanawake nao wamekuwa na tabia hiyo tena kwa sana ila wamekuwa wakifanya kwa siri kubwa kiasi ni vigumu kwa waume zao kuwabaini kwa wepesi. Wakati naolewa na mume wangu…