Author: Mbeya Yetu

Watu watatu wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa, kufuatia ajali iliyohusisha magari mawili, likiwemo Basi la abiria Kampuni ya CRN na Toyota Land Cruiser mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, katika eneo la Ilongo Wilaya ya
Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Humo, Wilbat Siwa, amesema Basi lilikuwa likitokea Mbeya kuelekea Mbarali na Toyota Land Cruiser lilikuwa likitokea Njombe kuelekea Mbeya Mijini na kwamba chanzo cha ajali ni basi la Abiria ‘Ku ovateki vibaya, ambapo dereva wa basi hilo

Read More

Katika moja ya vitongoji huko Mwanza kulitokea tukio ambalo liliwaacha vinywa wazi wakazi wa eneo hilo baada ya wezi waliovamia duka la bwana mmoja kuzingirwa na nyuki katika mikono yao kiasi kwamba hawakuweza kushika kitu chochote. Tukio hilo ambalo lilivuta umati mkubwa wa watu kutoka hata vitongoji vya jirani viliacha makundi ya watu kando ya barabara yakipiga soga ambazo zilikuwa zimejaa maswali yaliyokosa majibu kwa wakati huo. Wezi hao ambao wiki moja kabla walivamia duka moja la bidhaa za jumla la vifaa vya umeme na kupora zaidi ya Sh16 milioni, inaelezwa walifikwa na masahibu hayo baada ya mmiliki wa duka…

Read More

Naitwa Leah kutoka Moshi, nina wanaume watatu, mmoja yupo Ulaya, huyu alikuwa ananimbia eti kwenda kule ni shida ila tuombe sana njia zifunguke ila mchakato uwende kwa haraka, nikamuuliza lini sasa akanijibu ataniambia. Ila hana noma fedha ananitumia na tuna miaka miwili kwenye mahusiano na kweli anaonyesha kunipenda na ana nia na mimi maana kila mara anasema anataka kunioa. Wapili ni ex yupo Arusha, tuliachana kwa ugomvi kw asababu nilikua namsumbua anioe, maneno yalikua mengi nikajikuta namfokea sana nikawa namlazimisha akamua kunicha akidai hajajipata illa sasa hivi amerudi na anasema yupo tayari anataka kunioa. Mwingine yupo Dar es Salaan, sijawahi…

Read More

Naitwa Ummy kutokea Zanzibar, ni binti wa miaka 24, nimemaliza chuo mwaka uliopita, sasa mwishoni mwa 2021 nilianza mahusiano na huyo kaka mwenye miaka 31 kwa sasa. Mwaka 2022 alikua anataka nimzalie mtoto nikamwambia kwa huo muda siwezi kuzaa nikiwa nasoma pia nikiwa kwa wazazi akasema basi 2023 nitazaa nikasema nitafikiria, 2023 ilipofika pia majibu yangu hayakubadilika nilibaki na msimamo uleule. July 2024 baada ya kumaliza chuo tulipishana kwa suala la kuzaa mimi nikadai siwezi kuzaa nikiwa naishi kwa wazazi akatulia, sasa nilipomaliza chuo aliniambia niende kwake nilienda alipokua anaishi ni mkoa tofauti nikakaa kama wiki mbili hivi. Nilienda nikiwa…

Read More

Kwa majina naitwa Aisha Said, natokea Pwani, Tanzania, ni mwanamke wa miaka 25, ni single mama wa mtoto mmoja, nilikaa mwaka mmoja baada ya kuachana na mzazi mwenzangu ndio nikaanzisha mahusiano na kaka mmoja. Kaka huyo ni mtu wa Zanzibar, kwenye mahusiano yetu alikuwa ananijali sana mimi pamoja na mtoto wangu, kwa hilo simsemi vibaya ila shida aliyokuwa nayo ni mtu anayesusa sana. Yaani hadi anabore kitu kidogo kasusa na akisusa hakutafuti tena hadi wewe umtafute sasa na mimi ikafika wakati nikachoka kukaa nabembeleza mtu, tena mtu mzima ambaye anajielewa kabisa. Mfano kuna siku kunasehem tulipanga kupeleka mtoto kwaajili ya…

Read More

Wanawake wenzangu sikilizeni, wanaume wazuri wapo, wanaume wanaojali familia zao wapo, wanaume wasio chiti kabisa, yaani wapo wanaume wanaojali na wanao watoaji hela haijalishi kipato chake. Wapo wanaume wapole, wapo wanaume wanaosaidia majukumu ya nyumbani na kikazi pia wapo, wanaume waelewa wapo tena wengi tu ni wewe kuamua kuwatafuta huko wanapopatikana napo ni kwa Kiwanga Doctors. Msiishi kwa kukatiri maisha sio mmoja akija na sababu ya ndoa yake anateseka naa wewe unatafuta sababu ya kumsema wako ili tu mpate sababu za kuwasema wanaume mwanamke unapokutana na mwanaume mpumbavu. Basi usijumlishe wote kuwa wapo hivo amini unapoona ubaya basi na wema…

Read More