Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98
- Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika
- Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni
- This time I give steve a link (no mid-stream ads)
- What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33
- Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa
- BREAKING! MIT SCIENTIST SUSPECT MANHUNT , KASH INTERVIEW, TRUMP ADDRESS, NEWSOM & REAGAN, BLACK TV
- View the subsequent content through the homepage link#usa #shortsvideo #newyork
Author: Mbeya Yetu
Serikali imekamilisha ujenzi wa daraja linalounganisha Kata ya Minyughe na Makilawa, katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida, lililokatika miaka mitatu iliyopita, na hivyo kuathiri shughuli za kiuchumi na upatikanaji wa huduma za kijamii ikiwemo afya na elimu. Kukamilika kwa daraja hilo la chuma (Mibey Bridge) lenye urefu wa mita 30 lililogharimu zaidi ya Sh. Bilioni 1.6/-katika barabara ya Mtamaa-Minyughe hadi Mtavira, Wilayani Ikungi, litaenda kufungua fursa ya kiuchumi kwa wananchi wa kata hızo.Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA), Mkoa wa Singida, Mhandisi Ibrahim Kibasa, alisema kukamilisha uunganishaji wa vyuma kwa ajili ya daraja hilo, kumewezesha mto Minyughe…
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amefungua rasmi Mkutano Mkuu wa 148 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) uliofanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha CICG, Geneva nchini Uswisi leo tarehe 24 Machi, 2024. Mkutano huo unatarajiwa kujadili Dhima Kuu ambayo ni “Matumizi ya Diplomasia ya Kibunge katika kuleta Amani na Maelewano Duniani”. Mkutano huo umehudhuriwa na Maspika wa Mabunge 48 na washiriki zaidi ya 1,500 na unatarajiwa kuhitimishwa tarehe 27 Machi, 2024. Huu unakuwa Mkutano wake wa kwanza kuufungua tangu achaguliwe kuwa Rais…
#mbeyayetutv
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera amevunja ukimya na kuweka mambo hadharani kwa kuelezea hisia zake juu ya kile kinachoelezwa na baadhi ya wanasiasa wilayani’Namtumbo mkoani Ruvuma.
Akiwa katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Taasisi ya Site Trust Foudation na Site Fm zinazosimamiwa na wake zake Imani na Jasmin.
‘’Namtumbo ni Nyumbani kwetu Nimezaliwa Namtumbo sijaja kufanya siasa tuwaunge mkono viongozi wetu’’amesema Homera
Naibu Waziri wa Maji ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya Mhandisi Maryprisca Mahundi amezindua mradi wa uchimbaji visima vya maji uzinduzi uliofanyika Kijiji cha Azimio Mapula Kata Kongolo Mswiswi Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya ambapo Kata tano zitanufaika na mradi huo Wilaya ya Mbarali. Mahundi amesema visima vingine vitachimbwa katika vijiji vya Mpolo,Iwalanje,lbohola,Limsemi,Nyakazombe na Vikaye. Mahundi amesema Wizara itakamilisha kiasi cha shilingi milioni 96 hivi karibuni kwa lengo la kuukamilisha mradi huo ili mitambo iweze kuhamie Kata zingine nao waonje keki ya Mama Samia Suluhu Hassan. Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mbarali Mhandisi Samwel Heche amesema…
Madiwani wa Viti Maalum Jiji la Mbeya na Mbeya Vijini wametembelea miradi miwili ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya.Akitoa taarifa mbele ya Madiwani hao Afisa Uhusiano Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya Neema Stanton amesema lengo la ziara hiyo ni kuielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji iliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.Aidha Afisa Uhusiano wa Mamlaka ameipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wafanyabiashara kumi kwa tuhuma za kutorosha kilo 9.5 za madini ya dhahabu. Akitoa taarifa Waziri wa madini Anthony Mavunde amesema thamani ya dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya shilingi bilioni 1.5 ambapo watu kumi wanahusishwa na tukio hilo Ilomba Jijini Mbeya. KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHAB Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia wafanyabiashara kumi kwa tuhuma za kutorosha kilo 9.5 za madini ya dhahabu. Akitoa taarifa Waziri wa madini Anthony Mavunde amesema thamani ya dhahabu iliyokamatwa ina thamani ya shilingi bilioni 1.5 ambapo watu kumi wanahusishwa na tukio hilo Ilomba Jijini…
Taasisi ya Tulia Trust imetoa Msaada wa Viti Mwendo Vinne (4) kwa Watu Wenye Uhitaji Maalumu (Watu wenye Ulemavu) kata ya Itezi Jijini Mbeya. Zoezi hilo la kukabidhi viti mwendo limefanyika katika Uwanja wa Gombe likiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mrakibu Mwandamizi wa Uhamiaji Mhe.Mubarak Alhaji Batenga akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mhe. Beno Malisa. TULIA TRUST YAWAPA TABASAMU WANA-ITEZI Taasisi ya Tulia Trust imetoa Msaada wa Viti Mwendo Vinne (4) kwa Watu Wenye Uhitaji Maalumu (Watu wenye Ulemavu) kata ya Itezi Jijini Mbeya. Zoezi hilo la kukabidhi viti mwendo limefanyika katika Uwanja wa Gombe likiongozwa…
Kaimu Mtendaji Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya Mhandisi Barnabas Konga katika maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza machi 16,2024 ameendelea kutolea taarifa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka taarifa iliyoambatana na ziara ya kuitembelea miradi hiyo ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu shilingi bilioni 250 unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji ambapo Kampuni ya China Railway Connstuction ndiyo imepewa kandarasi chini ya Mhandisi Mshauri Kampuni ya GKW Consultant awamu ya kwanza zitatumika shilingi bilioni 119. Konga amesema Jiji la Mbeya na Mbalizi lina vyanzo ishirini ambavyo vinazalisha lita milioni 66.5 kwa siku wakati uhitaji…
Shirika la kimataifa la HJMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia mradi wa dreams kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na Ukimwi (PEPFAR) Mkurugenzi Mkuu wa HJFMRI Tanzania , Sally Chalamila amesema Machi 16 mwaka huu wilayani Kyela wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali na mashine za kisasa vyenye thamani ya Sh 178 milioni .Mashine na vifaa hivyo vimetolewa na Shirika la HJFMRI kupitia WRAIR -DOD kwa ufadhiri wa Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani (PEPFAR) kwa kushirikiana na Asasi ya Tumaini.Akizungumza kwa niaba…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Songwe ulioko Mkoani Mbeya na Kupokelewa na Mwenyeji wake Cde: Juma Z. Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwaajiri ya kushiriki Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani Leo Tarhe18 March 2024 ambalo Kitaifa linafanyika Jijini Mbeya katika Ukumbi wa Eden Highlands Hotel.
