Browsing: Video Mpya

Mfumo mpya wa usimamizi wa fedha za Umma Epicor 10.2 umezinduliwa ukifuatiwa na mafunzo ya wiki tatu kwa watumishi 950 kutoka katika kada za Uhasibu na Mamlaka za Serikali za Mitaa 185 za Tanzania Bara(TAMISEMI).

Mafunzo haya yanaendeshwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kwa ufadhili wa Serikali ya Marekani kupitia Mradi wa Maendeleo wa Kimataifa USAID.

Katika kuhakikisha kiwango cha Kitaaluma kwa shule za Msingi na Sekondari nchini Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Mkoa wa Mbeya unatarajia kuanzisha mashindano maalumu ya kupima uwezo wa walimu ambapo Mwalimu Bora atapewa tuzo maalumu Teachers Champion Award.