Mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa kutokea mkoa wa Mbeya Charles Mwakipesile amewajia juu baadhi ya watu hususani wapinzani ambao wamekuwa wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya maendeleo yaliyoletwa na Rais Samia kwa kipindi cha miaka mitatu tangu achukue kijiti cha kuliongoza Taifa kutoka kwa Rais wa awamu ya tano aliyefariki dunia Dkt John Magufuli.
Trending
- NSOMBA AONGOZA KAMATI SIASA CCM MBEYA MJINI WACHUKUA FOMU MBIO TULIA MARATHON MEI 11
- ccm watupa jiwe la gizani kwa chadema, mbwa anayepiga kelele ndiye anauawa;
- MEYA: MASHINDANO TULIA MARATHON YANAIBUA FURSA ZA KIUCHUMI,ELIMU, AFYA JIJI LA MBEYA”
- Ulevi kwa wanaume, vikoba kwa wanawake vyadaiwa kuwa chanzo cha utelekezaji familia
- WANANCHI WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI MGOGORO WA WAWEKEZAJI WA MADINI IFUMBO CHUNYA
- TUME YA TAIFA YA UNESCO YATAKA WADAU UHIFADHI KUHARAKISHA MCHAKATO WA KUINGIZA HIFADHI KWENYE ORODHA YA HIFADHI ZA DUNIA
- MAHUNDI AKABIDHI NONDO 50 UJENZI OFISI YA CCM KATA YA MBALIZI ROAD JIJINI MBEYA
- VIONGOZI NA WARATIBU WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI WAKUMBUSHWA MAJUKUMU YAO