Mgogoro umeibuka baina ya Lucas Mbwiga na Aidan Msigwa Wawekezaji wawili wa machimbo ya dhahabu katika Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo kila mmoja anadai kulimiliki kihalali eneo la Kisumain lililokuwa na leseni ya uchimbaji wa madini kwa jina la Daud Mwantavila ambalo linadaiwa kupangishwa kwa Lucas bila ridhaa ya familia huku Aidan Msigwa akidai kulinunua kisheria na kubadilisha umiliki wa leseni kutoka kwa Daud na kuja kwake tangu April 22,2024.
Trending
- MZRH: Yaadhimisha Siku ya Saratani Duniani,
- Sikuamini naweza kuolewa na miaka 43 kisha kupata mtoto!
- ”AGE MATE” KADA WA CHAMA ALIYEZALIWA NA CCM AIBUKA MBEYA ATOA USHUHUDA YALIYOFANYWA KWA MIAKA 48
- Niliachika katika ndoa tatu kisa sikupata mtoto, ila ndoa ya nne nimezaa dume!
- WAKILI MWABUKUSI AFUNGUKA MBELE YA RAIS SAMIA
- Mke wangu ananinyima tendo la ndoa, nifanyeje?
- WATENDAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA TANGA, PWANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
- Naibu Waziri Mahundi Atimiza Ahadi: Akabidhi Mtambo wa Kuchakata Dhahabu kwa UWT Kyela