Mgogoro umeibuka baina ya Lucas Mbwiga na Aidan Msigwa Wawekezaji wawili wa machimbo ya dhahabu katika Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya ambapo kila mmoja anadai kulimiliki kihalali eneo la Kisumain lililokuwa na leseni ya uchimbaji wa madini kwa jina la Daud Mwantavila ambalo linadaiwa kupangishwa kwa Lucas bila ridhaa ya familia huku Aidan Msigwa akidai kulinunua kisheria na kubadilisha umiliki wa leseni kutoka kwa Daud na kuja kwake tangu April 22,2024.
Trending
- Polisi Mbeya Wakamata Gari la Bhangi Mafurushi 67 Likiwa Linatoka Malawi
- Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya
- KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025
- Vigeregere na Shangwe! Dkt. Tulia Aongoza Mapokezi ya Mabomba ya Mradi wa Maji kutoka Mto Kiwira
- Nsomba Ampongeza Dk. Tulia Ackson kwa kutoa huduma ya matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- Dkt. Tulia Ackson Aongoza Zoezi la Upimaji na Matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- JK AWAILISHA SALAMU ZA RAIS SAMIA KWA KEPTENI IBRAHIM TRAORE, KIONGOZI WA KIJESHI WA BURKINA FASO MJINI OUAGADOUGOU LEO