Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko

September 6, 2025

Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana

September 5, 2025

Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia

September 5, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko
  • Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana
  • Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia
  • Nilijaribu Kuacha Ulevi Kwa Miaka 10 Lakini Siku Nilipopata Dawa Nilifunga Pombe Milele
  • ahati Ndingo: “Historia ya Dkt. Samia Wana Mbarali Tutaandika kwa Wino wa Dhahabu”
  • “Suma Fyandomo: Dkt. Samia Ni Dhahabu, Lulu na Tunu Ya Taifa Letu” tumpe kura za kishindo
  • Kwa Mara ya Kwanza, Patali S. Patali Atikisa Jukwaa kwa Kumwombea Kura Samia
  • Sophia Mwakagenda: Dkt. Samia Ameonyesha Uwezo wa Mwanamke Kuongoza Taifa
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » “Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi atembelea Kituo cha Mkonga wa Taifa Makongolosi, Mbeya”
Habari za Kitaifa

“Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi atembelea Kituo cha Mkonga wa Taifa Makongolosi, Mbeya”

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 12, 2025Updated:January 12, 2025No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

CHUNYA YAFIKIWA NA MKONGA WA TAIFA WA MAWASILIANO

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea Kituo cha mkonga wa Taifa cha mamlaka ya mji mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya kilichojengwa kwa lengo la kuboresha mawasiliano na ili kuongeza ufanisi kwa watendaji wa serikali katika makusanyo ya Serikali.

Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza fedha nyingi kwenye miundombinu ya mawasilano kupitia ujenzi wa vituo mkongo wa taifa nchikavu na baharini, ambapo amesema kupitia uwekezaji huo Wilaya 139 nchini zitanufaika na huduma ya mkongo wa Taifa hivyo kurahisisha utendaji wa Serikali.

Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya na Songwe Mhandisi Mujuni Kyaruzi amesema mkongo huo utaunganisha mkoa wa Mbeya na mkoa wa Songwe kupitia Wilaya ya Songwe ambapo unatarajiwa kuanza kutumika mwezi Aprili mwaka huu baada ya kukamilika ufungaji wa waya eneo la kilomota 10 lililobaki.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mbaraka Alhaj Batenga amesema wananchi wachangamkie fursa hiyo ya ujiio wa mkongo wa Taifa kwani kwa sasa kumekuwa na changamoto ya ukusanyaji wa maduhuri ya Serikali kutokana na changamoto ya mawasiliano maeneo mengi ya Wilaya hiyo, huku akiwataka wananchi kuilinda miundombinu hiyo ili Taifa liendelee kukua kiuchumi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Mbeya Yatikisika! Dkt. Tulia Achukua Fomu Ubunge Jimbo Jipya la Uyole

August 25, 2025

TAKUKURU Mbeya Yaokoa Milioni 47 na Kuongeza Mapato ya Halmashauri Zaidi ya Milioni 200

August 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025123

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025104
Don't Miss
Uncategorized

Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko

By Mbeya YetuSeptember 6, 20250

Mtaa mmoja wa jijini Dar es Salaam umegeuka gumzo kubwa baada ya wazazi wawili kuibuka…

Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana

September 5, 2025

Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia

September 5, 2025

Nilijaribu Kuacha Ulevi Kwa Miaka 10 Lakini Siku Nilipopata Dawa Nilifunga Pombe Milele

September 5, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko

September 6, 2025

Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana

September 5, 2025

Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia

September 5, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025123
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.