Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

December 7, 2025

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
  • Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI
Afya na Ustawi

CHUO CHA SAYANSI ZA AFYA K’S ROYAL CHAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUKUZA UJUZI KWA WANAFUNZI KUKIDHI SOKO LA AJIRA NCHINI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 9, 2025Updated:February 9, 2025No Comments34 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Bodi ya Ushauri ya Chuo cha Sayansi za Afya cha K’s Royal imepata nafasi ya kipekee ya kupongeza uongozi na wafanyakazi wa chuo kwa juhudi zao za kuhakikisha wanafunzi wanapata maarifa na ujuzi wa kisasa ili kuendana na mahitaji ya soko la ajira nchini. Katika kikao cha hivi karibuni, bodi hiyo ilibaini kwamba chuo kimejizatiti katika kuimarisha mitaala na mafunzo ambayo yanajibu moja kwa moja changamoto zinazokabili sekta ya afya nchini.

Akiongea katika kikao kwenye kikao cha uzinduzi wa bodi mpya ya Chuo, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri, Sr. Shukrani Ndumilla alisema, “Tuna furaha kubwa kuona kwamba chuo cha K’s Royal kinazingatia ubora wa elimu na mafunzo yanayotolewa kwa wanafunzi wake. Hii ni hatua muhimu sana katika kuimarisha sekta ya afya na kuandaa wanachuo kuwa viongozi wa baadaye.”

Nae Mkuu wa Chuo cha K’s Royal Edward Aloyce amesema Wafanyakazi wa chuo hicho wamekuwa wakifanya kazi kwa karibu na wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na hospitali, vituo vya afya na mashirika yasiyo ya kiserikali, ili kuhakikisha mafunzo yanayotolewa yanazingatia mahitaji halisi ya soko. Chuo pia kina programu za mafunzo kwa vitendo, ambapo wanafunzi wanapata nafasi ya kufanya kazi katika maeneo halisi ya huduma za afya.
Amesema kuwa wanafunzi wanaofuzu kutoka chuo hicho wamekuwa wakifanya vizuri katika soko la ajira, huku wengi wakiteuliwa katika nafasi muhimu katika taasisi mbalimbali za afya. Hii ni ishara tosha ya kazi nzuri inayoendelea kufanywa na chuo hicho.
“Tutendelea kufanya kila posible kuhakikisha kuwa wanafunzi wetu wanapokea elimu bora na mafunzo yanayowafanya wawe tayari kukabiliana na changamoto za sekta ya afya. Tunashirikiana na wadau mbalimbali ili kuboresha mazingira ya kujifunza na kuwapatia wanafunzi ujuzi wanaohitaji.” – Edward

Bodi ya Ushauri imeelekeza wito kwachuo hicho kuendelea kuwa mfano ili kuimarisha ubora wa mafunzo yanayotolewa nchini, na mwisho, kuimarisha sekta ya afya kwa faida ya jamii nzima

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YAANZA RASMI KUTOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA KWA LENGO LA KUOKOA MAISHA NA KUPUNGUZA ATHARI ZA AJALI NA DHARURA ZA KIAFYA NYANDA ZA JUU KUSINI

November 26, 2025

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

By Mbeya YetuDecember 7, 202510

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

Serikali ya Tanzania imesema inaenda kuwafutia hadhi ya ukimbizi Wakimbizi wanaoishi nchini baada ya kurejea kwa hali ya amani katika nchi zao baada ya hapo awali kuwepo kwa machafuko.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene huku jumla ya Wakimbizi 238,956 wanahifadhiwa hapa nchini ambapo Warundi ni 152,019,Wakongo ni 86,256 na mataifa mengine yakichangia idadi ya 681.

“Katika mkutano wa mwisho tulikubaliana kurejesha Wakimbizi 3000 kwa wiki,hata hivyo hadi tunakutana hapa hii leo 2025 ni Wakimbizi 3000 pekee waliorejea nchini kwao.Hili ni jambo ambalo lingepaswa kukamilika ndani ya wiki moja lakini limechukua takribani mwaka mzima,hatuwezi kuruhusu Hali hii iendelee hivi.” Alisema Waziri Simbachawene

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

December 7, 2025

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.