Author: Mbeya Yetu

Mfanyabiashara maarufu wa Jijini Mbeya Josephat Mushi pamoja na dereva wa Gari lililobeba shehena ya samaki wenye thamani ya shilingi milioni 200 wamehukumiwa kwenda jela miaka 15 wakituhumiwa kwa makosa ya kukwepa ushuru,

Shehena hiyo ya samaki tani 26 zimeteketezwa katika Dampo la Jiji la Mbeya huku magari matatu yakiwemo Lori lililobeba shehena hiyo na magari mawili ya mfanyabiashara huyo yametaifishwa na serikali.

Read More