Author: Mbeya Yetu

Taasisi ya Tanzania Yangu Entertainment imekuja na kitu kipya katika jamii ya walimbwende cha Miss Uzalendo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Yangu Ndele Mwanselela amesema kuwa lengo la kuanzisha Mashindano hayo ni kuwapandikiza Uzalendo wa nchi yao Walimbwende ikiwa ni pamoja na kuwaongezea weledi na Uelewa wa Mambo mbalimbali ya nchi yetu.

Read More

Mfumo mpya wa usimamizi wa fedha za Umma Epicor 10.2 umezinduliwa ukifuatiwa na mafunzo ya wiki tatu kwa watumishi 950 kutoka katika kada za Uhasibu na Mamlaka za Serikali za Mitaa 185 za Tanzania Bara(TAMISEMI).

Mafunzo haya yanaendeshwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kwa ufadhili wa Serikali ya Marekani kupitia Mradi wa Maendeleo wa Kimataifa USAID.

Read More