Samadi ya ng’ombe imekuwa ikuchukuliwa kama uchafu unaochangia uharibifu wa mazingira mitaani, lakini kwa wananchi wa Wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwao hali ni tofauti kwani sasa wanaityumia samadi hiyo kuokoa uhribifu wa mazingira unaotokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni na mkaa. Makala haya yanaelezea namna wananchi hao wanavyotumia samadi hiyo kutengeneza gesi ya kupikia (Biogas),.
Trending
- Maajabu ya Kijungu na Daraja la Mungu
- Gesi ya Samadi Bioges yaokoa Mazingira Rungwe
- Umuhimu wa Sheria ndogondogoza ulinzi wa Mtoto,
- ZAIDI YA WASHIRIKI 3,000 WASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA ARUSHA
- Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe. DoorMohamed Issa: Wana Mbeya Tuendelee kumuunga mkono Dkt Tulia
- TARURA MKOA WA DODOMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
- Dkt. Tulia aipongeza Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.
- TARURA YAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MSADYA, MKOMBOZI KWA WANANCHI WA MPIMBWE