Ni kama mchezo wa kuigiza vile, kwa siku moja ndani ya masaa machache baada ya uongozi wa CHADEMA jijini Mbeya kutangaza nia ya kuwasimamisha uanachama Madiwani wake watatu, Madiwani wawili wa kata ya Sisimba na kata ya Nsalaga wamejianika hadharani na kutangaza kujiuzulu na kukihama chama hichoooo
Trending
- “KUNUNA MWISHO – MWALUNENGE AWAPA MOTISHA VIJANA WA KIWIRA: PESA IPO, CHANGAMKIA FURSA”
- Alivyovutia fursa kubwa katika kutengeneza samani na kuuza
- MEYA ISSA ACHARUKA—AMLIPUA MKANDARASI WA SOKO MATOLA NA STENDI KUU KWA KUCHELEWESHA UJENZI
- Mama Ashikiliwa Kwa Tuhuma za Mauaji ya Mtoto Wake wa Miaka 10
- Baada ya hapo ndipo akapata kazi kubwa zaidi!
- SIMBACHAWENE ATEMBEA MITAANI KUANGALIA USALAMA—AWAPA HONGERA WANANCHI KWA UTULIVU
- Taarifa nyingine Tena Toka jeshi la polisi
- 2021 11 26 14 36 44
