#MbeyaYetuTv
Katika harakati zake za kupigania Uhuru wa Tanganyika Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alifika mkoani Mbeya na kupokelewa na wapigania Uhuru wakiongozwa na Bi Zeituni Matola ambako kwa sasa panaitwa Sokomatola.
Jina hili la Sokomatola limetokana na mwanamama huyu mwanaharakati Bointi ,Matola ambaye alidiriki kumficha Mwalimu Nyerere na kumtorosha kwa kumvalisha Baibui wakati akisakwa na wakoloni, hii ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya 1950 kabla ya kuzaliwa Chama cha TANU.
Trending
- ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
- MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA