#MbeyaYetuTv
Mfanyabiashara mkubwa wa Madini aina ya dhahabu wilayani Chunya mkoani Mbeya amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya pamoja na wafanyabiashara wenzie wanne wakikabiliwa na kosa la uhujumu wa Uchumi, Kutakatisha fedha, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kupatikana na Madini aina ya Dhahabu kinyume cha sheria,.
Trending
- HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA
- SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?
- WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI
- BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE
- RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
- JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA
- INEC YATAKA VIONGOZI MIKOA 16 KUSHIRIKI KUONDOA WALIOKOSA SIFA
- NI KILIO!!WAENDESHA BAJAJI NA WAKAZI MTAA WA JUHUDI ILEMI JIJINI MBEYA WALILIA MIUNDO MBINU BARABARA