#MbeyaYetuTv
Mfanyabiashara mkubwa wa Madini aina ya dhahabu wilayani Chunya mkoani Mbeya amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya pamoja na wafanyabiashara wenzie wanne wakikabiliwa na kosa la uhujumu wa Uchumi, Kutakatisha fedha, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kupatikana na Madini aina ya Dhahabu kinyume cha sheria,.
Trending
- MATAPELI CCM WABAINIKA,NI WALE WANAOPITA KUOMBA FEDHA BILA RIDHAA YA CHAMA,WATANGAZIWA KIAMA CHAO
- MH. MAHUNDI VIJANA TUACHE KUTUMIA MITANDAO VIBAYA
- Bosi wangu anang’ang’ania kuzaa mtoto na mke wangu!
- ONYO:”WANACCM MBEYA WATAKAOWAINGILIA WABUNGE MAJIMBONI MWAO KABLA YA KAMPENI KUKIONA CHA MOTO”
- KADA WA CCM JIMBO LA RUNGWE AIBUKA AELEZA MAFANIKIO YA RAIS SAMIA NA MBUNGE MWANTONA JIMBONI
- Njia ya kuwafanya watoto wako wafaulu mitihani yao hadi Chuo Kikuu
- Agizo la RC.Homera Kwa TARURA na Mkandarasi Laanza Kutekelezwa Ndani ya Siku Moja kifusi chasambazwa
- Baada ya kufunga harusi ya Sh200 milioni, nimemfumania mke wangu na house boy!