Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA
  • Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia
  • Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo
  • Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Baada ya Hatua Moja Rahisi Kila Kitu Kikaanza Kuninufaisha
  • KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB
  • Mbinu Rahisi za Kumfanya Mume Wako Apagawe Kitandani
  • Austack “Kadogoo” Mushi Aililia Serikali imsaidie Baada ya Kuvamiwa na Kupoteza Kila Kitu
  • Kijana Mbeya Akamatwa Kwa Tuhuma za Kumuua Mama Yake wa Kambo
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB
Biashara na Uchumi

KIKWETE AIPONGEZA BENKI YA NMB

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 8, 2025No Comments77 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Meneja Mahusiano Idara ya Wateja Binafsi – Luiana Keenja, alipotembelea Banda la NMB kwenye Maadhimisho ya wiki ya Vijana katika viwanja vya Soko la Uhindini jijini Mbeya katikati ni Meneja Mauzo Kanda Nyanda za Juu Ungandeka Mwakatage.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete ameipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kuwa karibu na Wananchi kwa kusogeza huduma kwa watu wa maeneo ya pembezoni.

Kikwete ameongea hayo alipotembelea Banda la NMB kwenye Maadhimisho ya wiki ya Vijana viwanja vya Soko la Uhindini jijini Mbeya.

Amesema Benki hiyo ambayo kwa asilimia kubwa inawahudumia watumishi wa umma imewafikia wateja wengi wa pembezoni na hivyo kuwavutia wateja wengi kufungua akaunti katika benki hiyo.

Akizungumza wakati akimkaribisha Waziri Kikwete, Meneja Mahusiano Mwandamizi wa Benki ya NMB Josephine Kulwa amesema kwa kuzingatia umuhimu wa Wiki ya Vijana nchini Benki ya NMB imeshiriki kikamilifu maadhimisho hayo sanjari na kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru ambapo Benki hiyo imekuwa mmoja wa Wadhamini wakuu.

Kulwa amesema Huduma za kibenki za NMB zimelenga pia makundi ya vijana,ikiwemo akaunti maalumu ya Mwanachuo Account, Chimbo la Chuo (GO na NMB) ambapo Mwanachuo akifanya muamala kwa Lipa Namba ya NMB hurudishiwa hadi asilimia 30 na mafunzo kwa vitendo.

Na Mwandishi Wetu Mbeya

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025

MGOMBEA UBUNGE MHE. BAHATI KENETH NDINGO AENDELEA NA ZIARA KATA YA RUJEWA, MBARALI

October 7, 2025

ZIARA YA MGOMBEA UBUNGE BAHATI NDINGO YAACHA TABASAMU KWA WANANCHI WA KATA YA MAHONGOLE

October 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Video Mpya

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

By Mbeya YetuOctober 9, 20250

#mbeyayetutv

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025

Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Baada ya Hatua Moja Rahisi Kila Kitu Kikaanza Kuninufaisha

October 8, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

TRA MBEYA YAWA KIMBILIO KWA WALIPA KODI BIL 39 ZAKUSANYWA KWA ROBO MWAKA

October 9, 2025

Dkt. Tulia Ahitimisha Mafunzo ya “Wanawake na Samia” VETA Mbeya, Apongeza Uongozi wa Rais Samia

October 9, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025218

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025163
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.