Browsing: Biashara na Uchumi

Ujenzi barabara ya Lupeta-Wimba-Izumbwe kuinua Uchumi wa wananchi Mbeya.

Mbeya

Ujenzi wa barabara ya Lupeta-Wimba -Izumbwe yenye urefu wa Km.9.5 na ile ya Inyala-Simambwe Km. 16.7 kwa kiwango cha lami imelenga kuchochea ukuaji wa uchumi kwa wananchi mkoani Mbeya kwa kurahisisha usafirishaji wa mazao kwa urahisi.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Dennis Londo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya elimu na miundombinu ya Barbara mkoani Mbeya.

Mhe. Lundo alisema kuwa kamati hiyo imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA).

“Kazi kubwa na yenye viwango imefanyika katika elimu na miundombinu katika Halmashauri hii, Miradi hii miwili ya barabara tuliyotembelea ni muhimu kwa uchumi wa Mbeya lakini na Taifa kwa ujumla”Alisema Mhe. Londo

Kwa upande wa uchumi Mhe. Londo alisema barabara hizo zitaeda kurahisisha shughuli za kilimo na kupunguza gharama za pembejeo na uzalishaji kwani gharama za usafirishaji zitapungua, hivyo kumuongezea kipato mkulima mmoja mmoja na kumuondolea umaskini mwananchi.

LAND ROVER RANGE ROVER SPORTS

HSE
MWAKA 2006
AUTOMATIC
CC 2700
MILEAGE 121,000
DIESEL

MPAKA DAR PORT SHS 24,000,000
Ushuru wa hili gari unakadiriwa kua shs 13,979.000

TUWASILIANE
CHRIS LUKOSI +447903828119

DAR OFFICE +255 739 968 546
DAR OFFICE +255 745 325 946

Ado +255 714 628 788

KARIMA NYAU +255 763 244 355

KC GLOBAL TANZANIA LTD
TANZANIA OFFICE;
Salasala Road
NEAR JAMBO SUPER MARKET &FEZA INT SCHOOL
Kinondoni
Dar es salaam
TANZANIA.

OFISI ZETU UK;
KC GLOBAL LINKS LTD
UNIT 7A TILBURY INDUSTRIAL COMPLEX
TILBURY PORT
ESSEX
RM18 7HB

KAZI NI KIPIMO CHA UTU…!

KC TEAM….!