Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
- MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
- MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
Author: Mbeya Yetu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amepita baadhi ya maeno Jiji la Dar es Salaam kujionea namna Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Usalama wanavyotekeleza majukumu yao wakati Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati ukiendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere. Bashungwa wakati akipita katika maeneo ya Jiji hilo, leo tarehe 28 Januari 2025, amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP. Camillus Wambura kwa kuendelea kushirikiana na Vyombo vingine vya Serikali kuimarisha usalama katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaofanyika tarehe 27 na 28 Januari…
Itoshe kusema kuna watu hata uwafanyie kitu gani kwao ni vigumu kuridhika, hata ujitoe kwa kiasi gani nyoyo zao zinaendelea kuwaka tamaa na kutafuta mambo mengine sawa na yale ambayo umewatendea wa kuwapa. Jina langu ni Mama Fred, toka pande za Nyeri, Kenya, hivi majuzi nilimfumania mume wangu akiwa amelala kitanda kimoja na mdogo wangu wa tumbo moja. Hiyo ni baada ya mimi kutumia dawa za Dr Bokko ambazo zinakuwezesha kujua mienendo ya mume wako, nilipata namba yake katika moja magazeti huku nchini ambazo ni +255618536050 na kuwasiliana naye. Niliamua kufanya hivyo baada ya kuaona ukaribu wa kupita kiasi kati…
Hapa duniani kuna njia nyingi za kuweza kufanikiwa kimaisha, changamoto inakuwa jinsi gani utaweza kupata hizo njia na kuzitumia hadi kuweza kufanikiwa. Kibaya zaidi ni kwamba ni watu wachache sana waliofanikiwa ambao hueleza ukweli kuhusu siri za mafanikio yao, wengi husema uongo kuhofia kupitwa kimafanikio au kukutwa na gundu. Moja ya njia ambazo zinaonekana kuwa nyepesi kufanikiwa kimaisha ni kubashiri michezo (bet), unapoweka fedha kidogo unaweza kuona utashinda fedha nyingi endapo timu ulizochagua zitashinda kama ulivyobashiri. Hata hivyo, watu wengi hasa vijana hujikuta katika maisha ya kubet kwa miaka mingi bila kufanikiwa kupata fedha yoyote zaidi ya fedha zao kuzinufaisha…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism), Zurab Pololikashvili (kulia) na wakisaini Makubaliano ya Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la 2 la Kikanda la Utalii wa Vyakula la Shirika la Umoja wa Mataifa (The 2nd UN Tourism Regional Forum on Gastronomy Tourism for Africa) katika Makao Makuu ya Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa jijini Madrid, Hispania leo Januari 24,2025. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa…
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera ameitia kizuizini kampuni ya Mbembati inayojihuosisha na ununuzi wa zao la Parachichi wilayani Rungwe kwa kushindwa kuwalipa Wakulima waliomuuzia Matunda ya zao hilo na ameitaka kampuni hiyo kuzilipa Fedha zote ndani ya masaa 48, Laa sivyo itaendelea Kuwekwa kizuizini chini ya Jeshi la Polisi.
Ni Baada ya RC Homera kuendesha Kikao Maalumu kilichowakutanisha Wakulima wa zao la Parachichi, wanunuzi na Wadau wa zao hilo Kutoka Halmashauri ya Rungwe na Busokelo na kukutana na malalamiko makubwa Kutoka kwa Wakulima juu ya kutolipwa Fedha zao Kutoka kwa wanunuzi wa zao la Parachichi.
Aidha amelaani Vikali vitendo hivyo na kuvitaja kama vitendo vya kikatili hasa kwa makampuni ya ununuzi kudhulumu kipato Cha Wakulima wanaotoa Jasho lao kuzipambania familia zao huku wao(wanunuzi) wakiishi Maisha Mazuri.
Makampuni mengine yanayodaiwa na Wakulima ni Pamoja na Monac, Kampuni ya Josia Kakenje,Avo Africa, Kampuni ya Kuza.
Kufuatia hilo RC Homera ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa Kushirikiana na Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata wanunuzi wote wanaotuhumiwa na Wakulima ili walete Maelezo haraka ya lini watazilipa Fedha hizo.
Hadi sasa Hospitalini hakuna dawa ambayo imefanikiwa kuondoa moja kwa moja ugonjwa kisukari zaidi wagonjwa kupewa dawa za kushusha sukari pamoja na kusitiziwa kufuata kanuni fulani fulani za lishe. Jina langu ni Jescari Omollo, nafanya shughuli zangu pande za Kakamega nchini Kenya, binfasi nilisumbuliwa sana na ugonjwa kisukari hadi kufikia hatua ya kukatwa kidole changu cha mkono. Hiyo haikutosha bado niliendelea kusumbuliwa hapa na pale na ugonjwa huko hadi siku ambayo nilikutana na mtu anayekwenda kwa jina la Dr Bokko ambaye nilipata kumfahamu kupitia tangazo fupi kwenye gazeti. Wakati huo nikiwa sina cha kufanya kuhusu ugonjwa huo baada ya kutumia…