Author: Mbeya Yetu

Jina langu ni Fatma mkazi wa Pwani, Kenya, baada ya mimi kuzaliwa, baba na mama yangu walitengana na baba yangu alioa mke mwingine, wakati huo mimi nilikuwa nalelewa na mama yangu hadi pale nilipotimiza miaka saba ndio nikaenda kwa baba yangu mzazi. Basi niliishi na baba na mama yangu wa kambo kwa shida sana kwani hakuwahi kunipenda hata siku moja, lakini namshukuru ingawaje niliishi kwa changamoto lakini sikuwahi kukata tamaa ya kuishi hapa duniani. Kiukweli nilipitia kila aina ya manyanyaso na masimango, hakuna neno baya ambalo sijawahi ambiwa, kuhusu manyanyaso hakuna rangi sijawahi kuyaona ila sikukata tamaa. Dunia ilizidi kuwa…

Read More

Mkuu wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera ametembelea Gereza la Ruanda lililoko Jijini Mbeya na Kuzungumza na wafungwa ikiwa ni Pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili.

RC Homera amewaasa wafungwa hao kuhakikisha wanajifunza ujuzi mbalimbali wawapo hapo ili watakapopata ridhaa ya kurudi uraiani wautumie kuendesha maisha yao na kuwa walimu wa wengine.

Awali Wakieleza Maombi yao kwa RC Homera wamemuomba awahimize Viongozi wa Serikali kufika gerezani hapo kuwatembelea kwakuwa kufika Kwao wao hupata faraja kuu na kuamini kuwa serikali iko pamoja nao.
“Tunakushukuru sana kwa kuja Mkuu wa Mkoa Mimi nimefika hapa 2015 sijawahi kuona Kiongozi Mkubwa anakuja kututembelea, ujio wako tuna imani kuwa liko tumaini kubwa mbele yetu” amesema mmoja wa Wafungwa.

Mbali na hayo wafungwa pia wamemuomba RC Homera kuwasaidia kumleta Dkt: Tulia Ackson spika wa bunge la Tanzania na mbunge wa Mbeya Mjini kadharika Mganga Mkuu wa Mkoa.

“Mh: tusaidie kumuomba Rais wa mabunge Duniani na Spika Dkt: Tulia Ackson aje atutembelee maana yule ndio Mbunge wetu hata kama hatutokei hapa lakini tayari tuko kwenye Ardhi yake aje atuone”

“Pia Mganga mkuu wa mkoa tunamuomba aje atuone maana tunayo mengi ya kuzungumza naye hasa kuhusu magonjwa mbalimbali yanayotusibu”

Baada ya kusikiliza changamoto hizo Mkuu wa Mkoa ameahidi kuyatendea kazi kwa haraka hasa kuwaleta Viongozi wote sawasawa na maombi yao.

Lakini pia ametoa Kiasi Cha Shilingi Milioni Moja kwaajiri ya Kununua Chakula (nyama) Msaada ambao umeambatana na magodoro yaliyotolewa naM/kit UVCCM Mkoa wa Mbeya Yasin Ngonyani kwa Kushirikiana na mfanyabiashara Achimwene.

Read More

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura (Elimu)  Dkt. Rose Likangaga akifunga mafunzo hayo kwa niaba ya Mjumbe wa Tume, Dkt. Zakia Mohamed Abubakar.  Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura (Elimu)  Dkt. Rose Likangaga akifunga mafunzo hayo kwa niaba ya Mjumbe wa Tume, Dkt. Zakia Mohamed Abubakar.  Mwenyekiti wa Mafunzo, Bw. Khalid Khalif akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo.  Na Mwandishi wetu, Songea Watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura mkoani Ruvuma wametakiwa kuhamasisha wananchi wenye sifa ili wajitokeze kujiandikisha na kupata haki yao ya kikatiba itakayowawezesha…

Read More

Katika utafutaji wa maisha wa sisi vijana kuna changamoto nyingi sana tunapitia, unaweza kumwamini mtu kwa asilimia kubwa lakini akaja kukuangusha kupita maelezo. Jina langu ni Suledai, nilikutana na rafiki yangu tuliyepotezana miaka mingi, baada ya kugundua tunaisha mtaa moja, tuliamua tuanze kuisha pamoja ili tuweze kuchangia kodi na fedha inayobaki tufanyie maendeleo. Sikujua kama angekuwa mbaya kwangu, mwanzoni tuliishi vizuri tu huku tukishirikiana kwa kila kitu ila kadri siku zilivokuwa zinaenda kuna baadhi ya mambo niliona kwake hayakunipendeza sana. Ghafla alianza kuleta wanawake ndani ila nikawa nanyama tu, baadaye akazoea inapita mpaka siku tatu yupo ndani na hao wanawake…

Read More