Author: Mbeya Yetu

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson, amewaomba Wananchi wa Jimbo hilo kumchagua kwa kura nyingi kwa nafasi yake ya Ubunge na kura nyingi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili wakaiendeleze kazi nzuri waliyoianza kwa kuboresha sekta mbalimbali za kijamii. Akizungumza mbele ya Wananchi wa Jimbo la hilo wakati wa ufunguzi rasmi wa kampeni zake leo tarehe 13 Septemba, 2025 katika Uwanja wa Shule ya msingi Hasanga, Dkt. Tulia amesema kuwa katika kuhakikisha azma hiyo inatekelezeka, kwanza kabisa atahakikisha anafanikisha upatikanaji…

Read More