Author: Mbeya Yetu

Naitwa Tamara kutoka Arusha, miaka kama miwili nyuma nikiwa single mother wa watoto wawili, nikampata mwanaume mmoja nikawa nakaa naye ila chumba kimoja na hao watoto wangu. Kusema kweli huyo mwanaume anajali sana ila ndio hivyo maisha yake yalikuwa ni magumu sana, yaani ni anajitafuta na mimi nilimkubalia hivyo hivyo lakini kadri siku zilivyokuwa zinavyoenda nikawa naona hakuna mwelekeo wa maisha. Yaani pesa anayopata kwa siku ni ndogo sana na hakuna hata matumaini kama tunaweza kuongeza chumba kingine huko mbeleni, sasa kulingana na hali hii nikawa mtu wa wasi wasi sana juu ya maisha ya huko baadae. Kichonipa wasiwasi zaidi…

Read More

Naitwa Jesca, nina mpenzi wangu, sasa hapo awali ilikuwa kila nikilala nae lazima ajikojolee. Mwanzo nilikuwa napotezea nikajua labda uwoga au ni mimi mwenyewe nimepitiwa ila nilivyochunguza kumbe yeye ndio kikojozi. Hata kwake nilipoenda nikameona kabisa lile godoro huwa linakojolewa kila siku. Ana upendo wa kweli, nilishajaribu kumuongelesha kwa upendo tutafute hata tiba lakini nikaona mwenzangu ameridhika na hali yake. Anajipenda, ukikutana nae huku nje hutaamini kama ni mkojozi wa kila siku anakojoa hakuna siku anapumzika, tatizo la mwanaume kukojoa ni kuwa lazima mloe wote mkiamka kama mmeshirikiana kukojoa. Tulishalala lodge akakojoa ikabidi tuondoke mapema sana ili wasijue kama tulikojoa.…

Read More

Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri . Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo akizungumza jambo katika kikao hicho ,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe . Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Moshi wakikabidhi keki kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe kama zawadi kutokana na namna alivyosimamia manispaa hiyo pamoja na watendaji wa halmashauri hiyo kufanikisha kupaa kwa mapato ya halmashauri. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe akipokea…

Read More

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Zuberi Kidumo akitangaza ongezeko la mapato ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi . Mkurugenzi wa Hlamshauri ya Manispaa ya Moshi Mwajuma Nasombe akizungumza wakati wa baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Moshi . Baadhi ya Wakuu wa Divisheni na watendaji katika ofisi za Halmashauri ya Manipaa ya Moshi wakifuatilia kikao cha Bajeti cha baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo. Baadhi ya Madiwa wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakichangia mjdala wa Bajeti ya Halmashauri ya Manispaa ya Moshi wakati wa kikao cha Bajeti .  Na Dixon Hussein – Moshi   Manispaa ya Moshi…

Read More

Jina langu ni Nelson kutokea Dar es Salaam, miaka kama miwili iliyopita niliajiriwa katika kiwanda kimoja cha kuoka mikate nikiwa kama msimamizi mkuu ingawa pia nilishiriki katika shughuliza uzalishaji. Hapo awali mimi nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni nyingine shindani ambayo ilifanya vizuri sokoni kiumauzo kutokana na ubora wa mikate yao, hivyo waliamua kunichukua kuja kuongea nguvu upande wao. Kwa hakika walinipa ofa nono ajabu, moja ni kupewa nyumba ya kuishi, pili ni mshahara mnono pamoja na marupu rupu ya kila mwisho wa wiki. Ilikuwa ni ofa nzuri kwangu nami sikuwa tayari kuiacha inipite, basi nikasaini mkataba na kuamua kujiunga nao,…

Read More

Jina langu Eliza kutokea Morogoro, mtaani kwetu kuna wakaka watano ni marafiki sana wote ni wanajeshi. Basi nikaanza kuzoeana nao. Sasa huyo mmoja nikatokea kumpenda sijui na yeye alinipenda ila akawa anaonyesha dalili zakunitaka. Akasema simu yake ipo chaji atakuja nimpe namba zangu akaniulizia kama nina mtoto nikasema sina, basi tukapiga stori nyingi, sasa baada ya kwenda kuchukua simu nikakuta hana mpango tena na mimi ananipotezea. Basi ikawa kila tukionana ananiangalia sana, nikikaa sehemu na rafiki zangu anakuja anakaa pembeni yetu ataniangalia sana ila hasemi kitu. Hata hivyo, nilikua kugundua kumbe katika wale marafiki watano kumbe kuna mmoja wao ile…

Read More

Mimi ni mama wa watoto wawili nimeolewa yapata miaka 12 mpaka sasa nina umri wa miaka 34, kwenye maisha yangu ya ndoa nimekutana na matukio mengi mpaka ikafikia hatua nikaamua kutafuta faraja kwingine na hapa ndo tatizo lilipo. Sasa kuna kijana ana miaka 27 amekua akinisumbua kwa muda sana akiniambia kuwa ananipenda mwisho wa siku nikajitahidi sana kumchunguza nikamuona hana mambo mengi katika kuzoeana nikajikuta tu nampenda. Nikaamua kujitoa muhanga, nikaanza mahisiano naye tumekua ni watu wa furaha lakini furaha yetu imekua ya muda mfupi sana, hivi karibuni nilikuwa nimesafiri tukaelewana kuwa nikirudi nitaonana naye kwanza ndo niendelee na majukumu…

Read More

Mume wangu ni mwanajeshi na kwao ni familia ya watoto sita, yeye ndio wa kwanza, ana mdogo wake anayemfuatia ana biashara mwingine mishe zake hazieleweki yupo tu wa tatu kamfungulia biashara kamuekea kila kitu kwenye ilo duka yeye kaja kuendeleza tu. Anayemfuatia kamaliza kidato cha nne na sasa anamsomesha chuo na huyo mwingine ambaye ni wa mwisho alimsomesha shule za kulipia kwanzia chekechea mpaka kamaliza. Basi mume wangu akasema mambo yake hayaendi sababu ya kusomesha watoto wetu na wadogo zake, hivyo anataka huyu alioko chuo ndio wa mwisho kusomesha huyu wa mwisho atampeleka JKT nikamuambia itakua vizuri maana maisha yetu…

Read More

Jina langu ni Beatrace, katika maisha yangu hapo awali sikuwahi kuolewa. Nilizaa watoto wawili na maisha yakaendelea, hivyo sikubahatika kupata mume wa kunioa rasmi aniweke ndani kama mke wake. Sasa nilikuwa na rafiki yangu, sisi tulikuwa marafiki zaidi ya miaka 15 toka wadogo tukisoma, yeye aliolewa na akawa na maisha yake lakini urafiki ukaendelea. Sasa akafariki, nikaendeleza ukaribu na familia yake (watoto na mume wake) tumeishi hivyo mpaka tukajikuta tunaingia kwenye mahusiano ambayo yaliniumiza hadi nilipoenda kwa Kiwanga Doctors. Sasa mimi nikaamua kuachana na mwanaume wa mtu niliyekuwa nae nikaendelea na huyu sababu niliona kama ana mapenzi ya kweli. Aliahidi…

Read More