Author: Mbeya Yetu

Waziri wa maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso amesema Wizara ya maji imepiga hatua kwenye ujenzi wa miradi ya maji nchini hivyo kinachotakiwa kwa sasa ni kuboresha huduma kwa wateja na kudhibiti upotevu wa maji. Mhe. Waziri Aweso amesema hayo wakati akizungumza kwenye kikao kazi cha wakurugenzi wa huduma kwa wateja wa mamlaka za maji nchini kilichofanyika Mei 28, 2025 jijini Mbeya, kikao kinachofanyika kwa muda wa siku tano kuanzia Mei 26, 2025. Amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo Mhandisi Mwajuma Waziri, kuelekeza nguvu zake kwenye kuwasimamia watendaji kuhakikisha huduma ya maji inakuwa bora kwa wateja wao kwani kwa sasa miradi…

Read More