Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
- Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole
- DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA
- Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu
- MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”
- “Tunatiki CCM, Tunatunza Amani” — Kauli ya Bodaboda Kiwira Yakonga Moyo wa Suma Fyandomo
- Nilivyomfanya Mtu Aliyenidharau Kuniheshimu na Kunitegemea Kwa Mambo Mengi
- NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA
- Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla
Author: Mbeya Yetu
Wakazi wa kijiji cha Marachi wamesalia kushangaa baada ya tukio la kipekee ambalo limechukuliwa na wengi kama ishara ya nguvu za kiroho za ulinzi. Familia moja kutoka eneo hilo ilieleza jinsi walivyopata onyo lisilo la kawaida kupitia ndege mkubwa mwenye manyoya meupe yaliyong’aa na macho ya dhahabu, dakika chache kabla ya tukio baya kutokea. Mashuhuda walisema ndege huyo alionekana kwenye paa la nyumba ya familia ya Bw. Otieno usiku wa Jumamosi, akitoa mlio wa ajabu mara tatu kisha akapaa angani. “Tulidhani ni kisa cha kawaida,” alisema Bi. Atieno, mke wa Otieno. “Lakini dakika chache baadaye, tuliona kundi la wanaume watatu…
Nilisimama jukwaani huku mikono yangu ikitetemeka na machozi yakitiririka kama mvua. Watu walikuwa wanashangilia harusi nzuri iliyopambwa vizuri uwanjani, lakini mimi nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Harusi hii haikuwa ya mtu mwingine bali ya mume wangu na siyo nami, bali na mpango wake wa kando! Kwa zaidi ya miaka kumi, nilikuwa nimejitoa kwa ndoa yetu. Nilimsaidia mume wangu kuanzisha biashara, nilimzalia watoto wawili, na nilivumilia vingi kwa sababu ya familia yetu. Lakini miezi ya hivi karibuni, nilianza kuona mabadiliko makubwa. Alianza kuchelewa kurudi nyumbani, simu yake ikawa na nenosiri, na mara kwa mara alijificha kuzungumza kwenye simu. Nilipojaribu kumuuliza, aliniambia nakuwa…
Wakaazi wa eneo la Igoma mjini Mwanza walipigwa na butwaa Jumanne, Julai 29, 2025, baada ya kufichuka kwamba mwanaume mmoja amekuwa akiishi ndani ya tanki la maji kwa zaidi ya miezi mitano pamoja na mke wake wa pili aliyemwoa kwa siri. Tukio hilo lilizua gumzo mitaani baada ya majirani kuanza kulalamika kuhusu sauti za ajabu zinazotoka ndani ya tanki hilo hasa wakati wa usiku. Baada ya uchunguzi wa karibu kufanywa na viongozi wa mtaa, walibaini kuwa mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Paulo M., alikuwa amehamisha maisha yake yote ndani ya tanki la plastiki lililowekwa nyuma ya nyumba ya mama…
Hakuna kitu kinauma kama mke wako ambaye unamtunza kwa kumgharamikia kila kitu ili aweze kuishi vizuri na kupendeza unasikia anatembea na mwanaume mwingine nje ya ndoa. Jambo hilo limewahi kunikuta tena mbaya zaidi mke wangu alikuwa anatembea na mfanyakazi wangu wa ndani wa kiume (house boy) ingawa nilikuwa namuuliza kila mara na yeye akikanusha hilo. Naitwa Sulemani, nimemuoa huyu mke wangu miaka mitatu iliyopita, tulifungua ndoa na kufanya harusi ya gharama kubwa zaidi ya Sh200 milioni kutokana familia yangu na yake ni watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi. Tulianza kuishi pamoja katika nyumba ambayo tayari nilikuwa nimeinunua, mwanzoni mwa ndoa yetu…
Kila mmoja anapenda kuona maisha yake yanapiga hatua kila siku, hakuna mtu ambaye hapendi kuona maendeleo yake binafsi ingawa vikwazo ni vingi hasa upande wa utafuta riziki. Naitwa Uledi kutokea Bagamoyo, kwa sasa nimeajiriwa kwenye kampuni kubwa ya usambazaji vinywaji baridi, nimefanya kazi hii kwa miaka zaidi ya 12 sasa. Miaka mitatu iliyopita nilifanikiwa kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara baada ya kufanya kwa miaka tisa bila kupata fursa hiyo ambayo kila mfanyakazi huwa anaitamani. Sababu ya kuikosa kwa muda mrefu sio kwamba sikuwa na vigezo au ofisi yangu haikuwa na uwezo, laah hasha!, bali ni fitna za kikazi ambazo baadhi…
Walikuwa wananiita “mshenzi wa mapenzi.” Marafiki zangu wa karibu walinicheka kwa siri, wengine wakisema sijui kuchagua wanaume, wengine wakinihurumia kwa kimya. Katika familia, nilikuwa mfano wa “usiotakiwa kufuatwa”ndugu walinitumia kama somo kwa wadogo zangu, “msije kuwa kama dada yenu.” Kwa miaka nane, nilihangaika kwenye mahusiano yaliyokuwa na maumivu tu. Nilivumilia udhalilishaji, nililipa kodi ya nyumba kwa wanaume wasiokuwa na kazi, nilishuhudia wanaume wakinipenda mchana na kunisaliti usiku. Kuna wakati mmoja nilimkuta mchumba wangu wa wakati huo amelala na mpango wake wa kando kitandani kwangu. Nilihisi dunia imenimeza. Nilikuwa nimefikia mahali ambapo nilijiona sifai kupendwa. Nilijiambia pengine mimi siyo mrembo, au…
Wakazi wa Mbezi Beach, Dar es Salaam walishtuka baada ya mwanamke mmoja kugundua kuwa mume wake alikuwa amemwandikisha mwanamke mwingine kwenye bima ya afya ya kampuni alikofanya kazi akimwita “mke wake wa ndoa.” Tukio hilo lilizua taharuki kwa familia hiyo, huku likizua mjadala mkubwa kwenye makundi ya wanawake mtandaoni. Kwa miaka sita ya ndoa yetu, nilidhani nina mume mwaminifu. Tulikuwa tumepitia mengi pamoja kushiriki ndoto, kupambana na madeni, na hata kupata mtoto mmoja wa kiume. Sikuwahi hata mara moja kuwa na mashaka juu ya uaminifu wake. Lakini kama wanavyosema, mchana wa ndoa ni mrefu, na ndani yake kuna mawingu yasiyotabirika.…
Sidhani kama kuna mfanyakazi anaweza kutosheka na kuridhika na mshahara ule ule kwa miaka nenda rudi, na hii ni kutokana kila mshahara unapoongezeka, matumizi nayo yanaongezeka tena kwa kiasi kikubwa. Hiyo hufanya mfanyakazi kutumia tena ombi la mshahara, hata hivyo ni Mabosi wachache au Ofisi chache ambazo muda wote zipo tayari kwa kuongeza mshahara mfanyakazi wake. Ndivyo ilikuwa na kwangu,nilifanya kazi katika ofisi moja ya usafirisha mizigo kwa miaka mingi kwa malipo yale yale miaka mingi sana. Kila ambapo ningetuma ombi la nyongeza mshahara, basi ningepewa jibu kuwa nisubiri kwanza au niwe mvumilivu kwani siku sio ngingi watafanya hivyo ila…
Kuna jambo ambalo unaweza kusikia watu wakisema hadi kulifanikisha kuna ugumu sana, lakini kwako likaja kuwa rahisi ajabu kiasi kwamba unashangaa nini hiki kimenitendekea. divyo ilivyokuwa kwangu wakati natafuta kazi ya ndoto zangu ambayo nimeisomea hadi Chuo Kikuu. Jina langu Zurimami, nimesomea taaluma ya Rasilimalia Watu (HR), ilikuwa ndoto yangu kufanya hivyo. Baada ya kumaliza Chuo tu hivi nilishauriwa na baadhi ya watu kuwa nitafute moja ya Ofisi mjini niombe kazi niwe najitolea bila malipo ili kupata uzoefu maana waajiri wengi hupenda kuajiri wafanyakazi wenye uzoefu. Nilikubaliana na ushauri wao na kuanza kuitafuta nafasi hiyo, nakumbuka dada yangu, Ney ndiye…
Nilikuwa msichana mrembo, mwenye maadili na roho ya kupenda kweli. Lakini kwa miaka mingi, kila mwanaume aliyekuja maishani mwangu aliniacha nikiwa na moyo uliovunjika. Walikuwa wananitumia, kuniahidi ndoa, kisha baada ya kunipata, walinigeuka kana kwamba mimi si chochote. Nilijaribu kubadilika, kujifunza kutoka kwa makosa yangu, hata kufunga na kuomba lakini haikubadilika chochote. Ilikuwa kana kwamba nililaaniwa kwenye mapenzi. Marafiki zangu walinicheka. Waliniita “malkia wa heartbreak.” Mama yangu aliniambia pengine najaribu sana. Kila nilipojaribu kuelezea uchungu wangu, walidhani labda mimi ndiye tatizo. Nilipoingia kwenye uhusiano na kijana mmoja wa kanisani ambaye kila mtu alimwona kama mtakatifu, nilidhani labda huyu ni wa…

 
		