Browsing: Video Mpya

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Mathew Kundo ametembelea chanzo cha maji mto Kiwira Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya ambacho kimefikia asililimia tisini na nane huku akisema zaidi ya shilingi bilioni nne zimetolewa na Serikali kuendeleza mradi huo pamoja na kutoa wito kwa wananchi kutunza chanzo cha maji ili mradi uweze kufanya kazi kwa muda mrefu. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYAUWSA) amesema mradi huo utakuwa na ujenzi wa chanzo cha maji, bwawa la kutibu maji,utandazaji wa mabomba na tanki la kusambazia maji.

Website: https://sabbysabs.com/
Patreon: https://www.patreon.com/SabrinaSalvati
PayPal: https://paypal.me/sabbysabspodcast?locale.x=en_US
Merch: https://www.bonfire.com/store/sabby-sabs/
Newsletter: https://sabbysabs.substack.com/
Sabby Sabs Discord: https://discord.gg/bZaB7SJz5E
Rokfin: https://www.rokfin.com/SabbySabs
Odysee: https://odysee.com/@SabbySabs:e?order=new
Rumble: https://rumble.com/c/c-1572375
Ritual Network: http://ritualnetwork.com/
Anime Sabby artwork credit: By Diva’sDoodles by Yvonne J.
Intro Song: Sabby Sabs Intro – Do Bee Doo by Jesse Jett – Copyright © @Song Secure 2023.
Intro Video: Kesheev

Please LIKE and SUBSCRIBE!

Contact Me:
Business Inquiries: [email protected]
General contact: [email protected]

Follow me on Twitter: @SabbySabs2
Follow me on Telegram: https://t.me/boost/sabbysabspod
Follow me on Instagram! https://www.instagram.com/sabbysabs4u/
Spotify & iHeart Radio: Sabby Sabs
Facebook: Sabby Sabs Podcast

#mitscientist #sabbysabs #brownuniversitysuspect #kashpatel #gavinnewsomnews #katiemiller #chriscuomo #geopoliticsinconflict #trumpaddressingthenation

DKT TULIA ACKSON:”Kwanza kabisa nichukue fursa hii kutoa pole kwa dhati. Sisi ni sehemu ya wananchi ambao tuliathirika na tukio lililotokea, na kama ilivyoelezwa vizuri na Sheikh wa Mkoa, sitarudia kwa kirefu. Lakini nitoe pole zangu za dhati kwa wananchi wenzangu wa Mbeya, Uyole, na Watanzania wote kwa ujumla, kufuatia tukio lililolikumba Taifa letu tarehe 29 Oktoba”.

”Wakati huohuo, baada ya dua na maelezo yaliyotolewa, nitoe pole pia kwa wananchi wenzetu waliopoteza maisha, na niwatakie uponaji wa haraka wale wote waliojeruhiwa.

Nichukue fursa hii pia, Mheshimiwa Waziri Mkuu, kukukaribisha mkoani Mbeya, lakini kwa ziara hii maalum, nitoe pole kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa changamoto iliyotokea, ambayo pia imekupa fursa ya kutembelea miundombinu mbalimbali ya umma na mali za wananchi zilizopata athari”.