#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- eGA yatoa mafunzo kwa Kamati ya Uongozi ya TEHAMA INEC
- WATUHUMIWA 20 WAKIWEMO RAIA WA KIGENI 04 WAKAMATWA KWA KUINGILIA MIFUMO YA MAWASILIANO.
- M/KITI JUMUIYA WAZAZI MBEYA(M) MWALUPINDI ASHIRIKI MAHAFALI SEKONDARI ITENDE ATOA SARUJI/VITABU
- Tumia njia hii watoto wako wafaulu mitihani Shuleni
- M/KT CCM MBEYA MJINI AFREY NSOMBA AWAFUNDA WAHITIMU KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDAR KALOBE
- MAJALIWA ATETA NA WAZIRI WA UCHUMI WA URUSI
- TARURA KATAVI YABORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
- Hii ndio dawa nzuri ya kumtuliza mume ndani ya ndoa!