Tabia ya baadhi ya Wazazi kuwapiga watoto wao kupita kiasi bila kujali athari za kiafya na kisaikolojia zitakazompata mtoto husika ni aina ya ukatili kwa watoto.. Makala hii inaeleza madhara yaliyompoata mtoto mmoja wa kike wilyani Mbozi mkoani Songwe baada ya kupigwa na Baba yake mzazi kwa tuhuma za kuiba pesa nyumbabni.kwao. Kupitia mradi wa Ulinzi na Usalama wa mtoto Shirika la Intergrated Rule Development Organisation limeingilia kati ukatili huoili kumuokoa mtoto huyo dhidi ya ukatili aliofanyiwa.
Trending
- Maajabu ya Kijungu na Daraja la Mungu
- Gesi ya Samadi Bioges yaokoa Mazingira Rungwe
- Umuhimu wa Sheria ndogondogoza ulinzi wa Mtoto,
- ZAIDI YA WASHIRIKI 3,000 WASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA ARUSHA
- Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mhe. DoorMohamed Issa: Wana Mbeya Tuendelee kumuunga mkono Dkt Tulia
- TARURA MKOA WA DODOMA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII
- Dkt. Tulia aipongeza Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.
- TARURA YAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MSADYA, MKOMBOZI KWA WANANCHI WA MPIMBWE