Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

KAMPUNI YA PYTEK YAWAPA FURAHA WAKULIMA WA PARETO JOJO MBEYA VIJIJINI

September 6, 2025

MAHUNDI ATIKISA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA LUPA

September 6, 2025

Kijana Maskini Aliyekuwa Hana Kazi Sasa Ni Meneja Anayetembea Gari

September 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • KAMPUNI YA PYTEK YAWAPA FURAHA WAKULIMA WA PARETO JOJO MBEYA VIJIJINI
  • MAHUNDI ATIKISA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA LUPA
  • Kijana Maskini Aliyekuwa Hana Kazi Sasa Ni Meneja Anayetembea Gari
  • Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko
  • Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana
  • Mwantona: Mama Samia Ni Shujaa wa Wakulima, Tumpe Kura za Historia
  • Nilijaribu Kuacha Ulevi Kwa Miaka 10 Lakini Siku Nilipopata Dawa Nilifunga Pombe Milele
  • ahati Ndingo: “Historia ya Dkt. Samia Wana Mbarali Tutaandika kwa Wino wa Dhahabu”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA
Video Mpya

KAMBI YA SIKU 3 YA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa kushirikiana na Taasisi ya 1 New Heart Tanzania inayojihusisha na upimaji wa moyo kwa watoto imewaka kambi ya siku tatu ya uchunguzi na upimaji wa moyo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 kwa wakazi wa Nyanda za Juu Kusini.

Akiongea wakati wa zoezi hilo Dkt. Nuru Mniwa Mkuu wa Idara ya Watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema lengo la kambi hiyo ya siku tatu ni kutoa huduma ya uchunguzi na vipimo kwa watoto chini ya umri wa miaka 14 ili kutambua matatizo mbalimbali ya moyo yanayowakumba pamoja na kuwapuguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kwenda kupata huduma hiyo.

“..changamoto kubwa ni uwezekano wa watoto hawa kufika Taasisi ya Moyo ya JKCI pale wanapobainika na tatizo la moyo kutokana na umbali na gharama za kujikimu”.- Dkt. Nuru Mniwa

Kwa upande wake Dkt. Gloria Mbwile, Daktari Bingwa Mbobezi wa magonjwa ya Moyo kwa watoto Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya amesema, magonjwa ya moyo kwa watoto yamegawanyika katika makundi mawili ikwemo magonjwa ya kuzaliwa nayo pamoja na yale yanayoytokana na maambukizi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KAMPUNI YA PYTEK YAWAPA FURAHA WAKULIMA WA PARETO JOJO MBEYA VIJIJINI

September 6, 2025

MAHUNDI ATIKISA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA LUPA

September 6, 2025

Dkt. Tulia: Michezo Ni Fursa ya Ajira kwa Vijana

September 5, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025123

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025104
Don't Miss
Video Mpya

KAMPUNI YA PYTEK YAWAPA FURAHA WAKULIMA WA PARETO JOJO MBEYA VIJIJINI

By Mbeya YetuSeptember 6, 20250

MAHUNDI ATIKISA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA LUPA

September 6, 2025

Kijana Maskini Aliyekuwa Hana Kazi Sasa Ni Meneja Anayetembea Gari

September 6, 2025

Wazazi Wawashangaza Majirani Baada ya Binti Yao Kukubali Kuwapa Nusu ya Mshahara Wake Bila Malalamiko

September 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

KAMPUNI YA PYTEK YAWAPA FURAHA WAKULIMA WA PARETO JOJO MBEYA VIJIJINI

September 6, 2025

MAHUNDI ATIKISA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA LUPA

September 6, 2025

Kijana Maskini Aliyekuwa Hana Kazi Sasa Ni Meneja Anayetembea Gari

September 6, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025123
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.