Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
  • MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
  • MWANAHABARI MKONGWE CHARLES MWAKIPESILE AJITOSA UBUNGE MBEYA MJINI
  • ALIYESAMBARATISHA UPINZANI JIMBO LA MBEYA MJINI AWANIA UBUNGE MBEYA MJINI, NI AFREY NSOMBA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE
Uncategorized

MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024Updated:March 12, 2024No Comments27 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde. Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.

Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Aidha, Mkurugenzi mtendaji wa Mbeya UWSA CPA. Gilbert Kayange, amewashukuru GIZ kwa kutoa fedha na kusimamia utekeleza wa mradi huu ambao unaenda kuwa ukombozi kwa jamii,pia amewaasa wananchi kuhakikisha miundombinu inatumika ipasavyo na kutunzwa kwa manufaa vya vizazi vijavyo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025

June 9, 2025

AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO

June 4, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202568

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202459
Don't Miss
Video Mpya

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

By Mbeya YetuJune 30, 20254

Mbeya, Juni 30, 2025 – Mwanasiasa na mpenda maendeleo, Mwakipesile, amerudisha rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini. Hatua yake inaendelea kuonesha ushindani mkali ndani ya chama chake huku akiweka mbele ajenda za ushirikiano na maendeleo jumuishi kwa wananchi wa Mbeya Mjini.

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025

WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202568
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.