TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO.
Wananchi wa maeneo mbalimbali katika Jimbo jipya la uyole wamemtaka mbunge wa Mbeya Mjini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Mabunge duniani Dkt Tulia Akson kugombea jimbo la Uyole sababu ya utendaji mzuri wa kazi na kuleta maendeleo.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumhiya ya vijana wa chama cha mapinduzi UVCCM wilaya ya Mbeya mjini Ameishukuru Tume ya uchaguzi kwa kuligawa jimbo hilo akieleza yakuwa kutakuwa na maendeleo ya Kasi katika Maeneo mbalimbali.