Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025

RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya

October 25, 2025

ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA

October 25, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani
  • RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya
  • ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA
  • Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet
  • Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu
  • Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29
  • MKONGOMAN ATOA USHUHUDA MZITO KUTOWEKA KWA AMANI NCHINI JAMHURI YA KONGO
  • DKT HARRISON MWAKYEMBE ATOA SOMO ZITO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » GOAL 3 Yakabidhi Monitors 15 za Kisasa Hospitali ya Rufaa Mbeya Yaimarisha Huduma za Watoto Wachanga
Video Mpya

GOAL 3 Yakabidhi Monitors 15 za Kisasa Hospitali ya Rufaa Mbeya Yaimarisha Huduma za Watoto Wachanga

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 16, 2025No Comments17 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya imepokea vifaa tiba vya kisasa monitor 15 kwa lengo la kuboresha huduma za uangalizi kwa watoto wachanga. Vifaa hivi, vilivyotolewa na Madau wa Maendeleo GOAL 3, vinatarajiwa kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya kwa watoto wanaohitaji msaada wa haraka na wa kitaalamu.

Akikabidhi vifaa tiba hivyo Mwamvuwa Mika Meneja Mradi Tanzania amesema thamira ya Goal 3 ni hakikisha Watoto wachanga wananzaliwa katika mazingira mazuri na pia wanapata huduma ambayo ni bora.
“Kwa kipindi hiki tumefika hapa hospitali ya rufaa ya kanda Mbeya kwaajili ya kufunga Impala monitors kwenye kitengo cha NIKU ili kuweza kuwasaidia Watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda. Ningependa pia kutoa shukrani zangu za dhati kwa Uongozi wa hospitali kwasababu tumeweza kushirikiana hadi kwa hatua hii tuliofika leo ambapo tumeshazifunga monitors 15 na zimeshaanza kutoa huduma kwa Watoto walio wodini na pia tutaendelea kushirikiana ili kuwafika Watoto wengine walio kwenye hospitali zingine ” – Mwamvuwa

Akizungumza mara baada ya kupokea vifaa hivyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya Bi. Myriam Msalale amemshukuru Madau wa maendeleo GOAL 3 kwa kuichagua Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kufanya kazi nayo na kuvipatia vifaa tiba hivyo ambavyo vimekuja kwa wakati na vitatusaidia sana katika kuboresha huduma kwa watoto wachanga na kutoa wito kwa watumiaji wa vifaa tiba hivyo kuvitunza kwa uangalifu wa hali ya juu ili viweze kudumu kwa muda mrefu na kuwahudumia Watoto waliokuja kupata matibabu.
.

Nae Dkt.Rehema Marando Daktari Bingwa mbobezi wa watoto wachanga, amesema kuwa msaada huo umeleta manufaa makubwa kwa watoa huduma na Watoto ambapo vitawezesha kuboresha huduma na kuongeza ufanisi wa utoaji wa matibabu na uangalizi wa hali ya juu kwa Watoto wachanga.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025

RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya

October 25, 2025

ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA

October 25, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025194

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

By Mbeya YetuOctober 25, 20250

RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya

October 25, 2025

ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA

October 25, 2025

Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet

October 25, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025

RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya

October 25, 2025

ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA

October 25, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025194

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.