Kwa muda mrefu nilikuwa naona kama nimepoteza kabisa ule ukaribu wa kimapenzi na mume wangu. Hata yeye mwenyewe alianza kuona tofauti, lakini mimi sikujua nifanye nini.
Kila nilipojaribu kujilazimisha kuwa karibu naye, nilihisi kama nafanya jambo la kulazimishwa tu. Nilikuwa na uchovu usio na sababu, mawazo mengi, na kila kitu nyumbani kilianza kubadilika polepole. Tulianza kulala tofauti, mazungumzo yakawa machache, na hata watoto walihisi hali ya baridi nyumbani.
Wakati mwingine nilijitahidi kuvaa vizuri, kubadilisha mazingira, hata kusafiri kwa mapumziko mafupi, lakini bado nilihisi kama kitu fulani ndani yangu kimezimika. Marafiki walinishauri mambo mengi mengine yakawa ya kuchekesha, mengine ya kuumiza.
Nilijaribu lishe tofauti, mazoezi, na hata vidonge vya kuongeza nguvu mwilini, lakini hakuna kilichobadilika. Kila usiku nililala nikiwa na hofu kwamba labda mume wangu ataamua kuangalia nje ya ndoa kwa sababu ya hali yangu. Soma zaidi hapa

