Kwa miaka kadhaa ndani ya ndoa yangu, nilihisi kitu hakiko sawa. Kila mara tulipokuwa faraghani na mume wangu, badala ya raha nilihisi maumivu, ukavu, na kutoridhika kabisa. Nilijifanya kila kitu kiko sawa kwa sababu sikutaka kumuonyesha kwamba kuna tatizo, lakini ndani yangu nilikuwa na hofu kubwa. Nilihisi kama nimepoteza ule uhusiano wa karibu tuliokuwa nao mwanzo wa ndoa.
Nilianza kujilaumu. Nilifikiri labda ni kwa sababu nilikuwa nimejifungua watoto wawili kwa muda mfupi, au labda nilichoka sana kwa majukumu ya kila siku. Lakini hata nilipolala mapema, kula vizuri, au kujaribu kutumia mafuta ya kuongeza unyevu, bado hali haikubadilika. Ilifika hatua nilianza kuepuka tendo la ndoa kabisa, nikitumia visingizio kama maumivu ya kichwa au uchovu. Nilijua hili linaathiri ndoa yangu, lakini sikuwa najua nifanye nini. Soma zaidi hapa
Mume wangu alianza kuwa mkimya, akionekana kama mtu mwenye huzuni isiyoelezeka. Nilihisi hatari ikikaribia — tulikuwa tunazidi kutengana kihisia. Nilijua siwezi kukaa kimya tena. Nilizungumza na rafiki yangu wa karibu, ambaye alinieleza kuwa kuna wanawake wengi wanaopitia hali kama hiyo bila kuelewa chanzo. Soma zaidi hapa

