Kwa muda mrefu nilijikuta nikikasirika kwa urahisi kila siku. Hata mambo madogo madogo yalinifanya nijisikie vibaya. Mara nyingi nilipoteza amani ya ndani na nikaharibu uhusiano wangu na familia, marafiki, na hata wenzangu kazini. Nilihisi nimekosa udhibiti wa hisia zangu na hiyo iliniletea huzuni kubwa.
Nilijaribu mbinu mbalimbali kujaribu kupunguza hasira yangu, lakini mara zote zilishindwa. Nilihisi kama mtu mwingine yupo ndani yangu, mtu ambaye hawezi kudhibiti mkazo wake. Nilijua lazima nifanye kitu cha kweli ili kurekebisha tabia hii na kuishi maisha yenye amani na furaha. Soma zaidi hapa

