Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.

December 3, 2025

KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA

December 3, 2025

MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA

December 3, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.
  • KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA
  • MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
  • BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29
  • Samia: Serikali tumejipanga, waje siku yoyote tunawasubiri (kuhusu Maandamano ya Disemba 9
  • KAULI YA SAMIA YAWASHTUA WENGI: MWANAMKE MZURI HUPIGANIWA
  • Hakukata tamaa hadi alipopata mtoto wake kwa njia hii
  • SAMIA: VIONGOZI WA DINI MSIJIVISHE MAJOHO KUONGOZA NCHI – AWANYOOSHEA KIDOLE TEC
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
Video Mpya

MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 3, 2025No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya (Mbeya UWSA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake Bi. Edna Mwaigomole, leo tarehe 03/12/2025 imefanya kikao cha dharula cha Kamati ya Bodi ya Fedha na Mipango kwa ajili ya kupokea na kujadili Mpango Mkakati wa Mamlaka wa mwaka 2025/2026–2029/2030 na Mpango wa Biashara wa mwaka 2025/2026–2029/2030.

Pamoja na kujadili masuala mengine ya kiutendaji ya Mamlaka, Kamati imepokea taarifa ya ununuzi wa gari maalumu kwa ajili ya shughuli za uondoshaji wa majitaka kwa wateja ambao hawajajiunga na mtandao wa majitaka.

Akitoa taarifa hiyo, CPA. Gilbert Kayange Mkurugenzi Mtendaji wa Mbeya UWSA amesema, Mamlaka ina jukumu la kutoa huduma ya majisafi na usafi wa mazingira kwa Wananchi ambapo kwa upande wa usafi wa mazingira Mamlaka ilikuwa haijawafikia wateja ambao hawajajiunga katika mfumo rasmi wa majitaka. Hivyo ununuzi wa gari la kuondosha majitaka majumbani utaboresha hali ya usafi wa mazingira katika jamii.

Aidha, alieleza kuwa, Mamlaka imenunua gari aina ya Isuzu FVR34P lenye thamani ya Shilingi 497,000,400 ambalo lina uwezo wa kubeba maji lita 10,000.

Bi. Cynthia Hilda Ngoye Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Fedha na Mipango , ameeleza kuwa anafurahishwa na utendaji kazi wa Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka kwani mipango mingi inayowekwa inatekelezwa.

Akizindua gari hilo, Bi. Edna ameeleza kuwa fedha zilizotumika kununua gari hilo ni fedha za umma, hivyo ni wajibu wa Watumishi kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Mbeya UWSA inaendelea kutekeleza maboresho ya huduma kwa lengo la kuongeza ufanisi, usalama wa mazingira na ustawi wa wananchi wa Jiji la Mbeya na Mji wa Mbalizi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.

December 3, 2025

KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA

December 3, 2025

BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29

December 3, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025244

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.

By Mbeya YetuDecember 3, 20250

KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya Bw.Elias Mwanjala amejitokeza hadhara kwa mara nyingine na kutoa kauli juu ya fedha ambazo alidai kuwa zimeteketea kwa moto wakati jengo la chama hicho lilipochomwa.

Bw.Mwanjala amesema kuwa ukweli wa fedha hizo kama zimeteketea kwa moto au kuchukuliwa na yeyote wameliachia vyombo vya ulinzi na usalama liendelee na uchunguzi.

KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA

December 3, 2025

MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA

December 3, 2025

BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29

December 3, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.

December 3, 2025

KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA

December 3, 2025

MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA

December 3, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025244

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.