#MbeyaYetuTv
Sept 2,2021:WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake.Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Asenga Mbunge wa Kilombero ambaye alishauri kuunganishwa kwa taasisi hizo ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa.
Akifafanua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa RITA ina majukumu ya kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yoyote
Trending
- CPA. Kayange : Asikiliza Kero ya Maji za Wakazi wa mtaa wa Sisitila. Awaomba radhi. Achukua hatua
- Askofu Ludovick Minde, Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi, ateta na walemavu: Atoa Wito wa Ushirikiano na Kujitegemea
- ASKOFU PANGANI ATOA UJUMBE MZITO KWA KANISA NA TAIFA
- Sauti Ya Mvulana yamgusa Mhe. Mahundi Atoa neno
- ONGEZENI UBUNIFU KATIKA HUDUMA MPYA MNAZOTOA
- Mbunge wa Mbeya Vijijini Aendeleza Ziara ya Kusikiliza Kero na Kukagua Miradi ya Maendeleo
- KERO ZAENDELEA KUTATULIWA MBEYA VIJIJINI, WANANCHI WATAKA MWENDELEZO.
- WAANDISHI WASAIDIZI KATA MKOA WA SINGIDA WAPIGWA MSASA