#MbeyaYetuTv
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi mradi wa Kiwanda cha Maji cha Tukuyu Springs Water kilichopo katika Kijiji cha Kibisi wilyani Rungwe mkoani MBEYA.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kiwanda hicho Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2019 Mzee Mkongea Ali, amesema kiwanda hicho kinapaswa kuongeza ajira kwa wazawa wa maeneo hayo,
Trending
- Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa
- TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE
- Nilikuwa Nikifuatwa na Kivuli Usiku Kila Mara Mpaka Nilipopata Ulinzi wa Kudumu
- “Polisi Watoka Scotland na Maboresho Mapya”
- Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia
- Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga
- Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo
- Mrembo alivyovunja minyororo ya kiroho iliyozuia kupata mume muda mrefu