Author: admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amewataka Wazanzibari kuuthamini, kuudumisha na kuenzi Utamaduni wao ikiwa ni pamoja na kuutangaza ndani na nje ya nchi.

Mama Samia ameyasema hayo katika siku maalumu ya sherehe za wakazi wa Kizimkazi iliyopo Kusini Unguja ambapo pia amewataka wazazi kuwachunga vijana wao kutojiingiza katika matumizi ya mihadarati.

Read More

Angalia maajabu ya Mlemavu huyu wa macho mkazi wa Lwangwa Busokelo wilayani Rungwe mkoani Mbeya, alipofuka macho akiwa na umri wa miaka 9, anamudu kufanya shughuli mbalimbali za ufundi anaweza kutengeneza baiskeli, pikipiki na hata kuuza duka anatambua na kuwarudishia chenji wateja wake bila kukosea na anatoa huduma kwa bidhaa ulizoagiza.

Read More