Author: Mbeya Yetu

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA)imewajengea uwezo Wanahabari Mikoa ya Nyanda za juu Kusini namna bora ya kuandika na kuzitumia vizuri kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu. Meneja Mawasiliano Kanda ya Nyanda za Juu kusini Boniphace Shoo amesema mada zilizojadiliwa ni pamoja na maudhui mtandaoni pia kanuni za utangazaji wakati wa uchaguzi. Shoo amesema TCRA itaendelea kutoa mafunzo ya mara kwa mara ili kuwakumbusha Waandishi namna bora ya kuripoti habari za uchaguzi. Vile vile Waandishi wa habari wamekumbushwa kuiheshimu Tume ya Taifa ya uchaguzi kwani ndiyo pekee yenye dhamana ya kutoa matokeo ya uchaguzi nchini. Kwa upande wake…

Read More

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji (Rufaa), Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 07 Juni, 2024 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uboreshaji wa Daftari. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji (Rufaa), Jacobs Mwambegele akizungumza wakati akifungua mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 07 Juni, 2024 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uboreshaji wa Daftari. (Picha na INEC).  Mkurugenzi wa Uchaguzi…

Read More

Maadhimisho ya wiki ya Mazingira Duniani Mkoa wa Njombe yamefikia kilele kilele chake katika Kijiji cha ltengelo Kata ya Saja Wilaya ya Wanging’ombe Mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka. Katika hotuba yake Mtaka amewataka wananchi kuungana na Rais katika jitihada za kutunza Mazingira kwa kupanda miti ya matunda na vivuli sanjari na kutunza vyanzo vya maji. Aidha Mtaka amewataka wananchi kujikita zaidi kupanda miti ya matunda kama parachi na apple ambayo itawawezesha wananchi kutunza Mazingira na kujikwamua kiuchumi. Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe Judica Omary amesema zoezi la upandaji miti Maadhimisho ya wiki ya…

Read More