Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
  • MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
  • MWANAHABARI MKONGWE CHARLES MWAKIPESILE AJITOSA UBUNGE MBEYA MJINI
  • ALIYESAMBARATISHA UPINZANI JIMBO LA MBEYA MJINI AWANIA UBUNGE MBEYA MJINI, NI AFREY NSOMBA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » KIKOSI CHA KUZUIA WIZI WA MIFUGO WATOA VYETI KWA WALIOFANYA VIZURI.
Habari za Kitaifa

KIKOSI CHA KUZUIA WIZI WA MIFUGO WATOA VYETI KWA WALIOFANYA VIZURI.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 5, 2024Updated:March 7, 2024No Comments14 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Jeshi la Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini katika kuhakikisha linaboresha huduma bora kwa Wananchi limeendelea kuwatambua na kuwapongeza Askari wa Jeshi hilo wanaofanya kazi vizuri zaidi ya kuhudumia wananchi sambamba na kuzuia uhalifu. Akitoa vyeti vya Pongezi kwa Askari hao leo Machi 01, 2024 katika bwalo la maafisa wa Polisi Arusha, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Utawala na Uchumi Bwana Daniel Luloku pamoja na kuwapongeza Askari waliofanya vizuri zaidi amewataka kwenda kufanya kazi kwa nidhamu na kwa weledi mkubwa ilikuhakikisha raia na mali zao wanabaki kuwa salama wakati wote.

Bwana Daniel amewataka Askari wengine kuiga mfano mzuri kutoka kwa Askari waliopata vyeti vya sifa na zawadi lakini pia kuongeza juhudi katika utendaji wao wa kazi za kila siku.

Aidha amebainisha kuwa amefurahishwa na namna ambavyo Jeshi hilo linatumia mbinu ya kubaini na kuzuia matukio ya uhalifu katika jamii kabla ya kutokea huku akitoa wito kwa Jeshi hilo kuendelea kuimarisha mahusiano mazuri na sekta binafsi.

Na. Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi.

Jeshi la Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini katika kuhakikisha linaboresha huduma bora kwa Wananchi limeendelea kuwatambua na kuwapongeza Askari wa Jeshi hilo wanaofanya kazi vizuri zaidi ya kuhudumia wananchi sambamba na kuzuia uhalifu.

Akitoa vyeti vya Pongezi kwa Askari hao leo Machi 01, 2024 katika bwalo la maafisa wa Polisi Arusha, Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Utawala na Uchumi Bwana Daniel Luloku pamoja na kuwapongeza Askari waliofanya vizuri zaidi amewataka kwenda kufanya kazi kwa nidhamu na kwa weledi mkubwa ilikuhakikisha raia na mali zao wanabaki kuwa salama wakati wote.

Bwana Daniel amewataka Askari wengine kuiga mfano mzuri kutoka kwa Askari waliopata vyeti vya sifa na zawadi lakini pia kuongeza juhudi katika utendaji wao wa kazi za kila siku.

Aidha amebainisha kuwa amefurahishwa na namna ambavyo Jeshi hilo linatumia mbinu ya kubaini na kuzuia matukio ya uhalifu katika jamii kabla ya kutokea huku akitoa wito kwa Jeshi hilo kuendelea kuimarisha mahusiano mazuri na sekta binafsi.

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Simon Pasua amesema Jeshi hilo limekua na utaratibu wa kuwatambua na kuwapongeza Askari wanaofanya kazi vizuri zaidi kila mwaka pamoja na kuwatambua wadau walioshirikiana na Jeshi hilo.

SACP Pasua ameongeza kuwa Jeshi hilo litaendelea kuwatambua na kuwapongeza Maafisa, Wakaguzi na Askari watakaofanya kazi vizuri ya kutoa huduma bora ikiwa ni pamoja na kubaini na kutanzua uhalifu hususani ya Wizi wa Mifugo.

Naye Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Julius Makrk kwa niaba ya Askari waliopata vyeti vya sifa na zawadi pamoja na kushukuru Jeshi hilo kwa kutambua kwa utendaji wao wa kazi, amebainisha kuwa zawadi hiyo imetokana na ushirikiano mzuritoka kwa Askari wengine katika kuzuia uhalifu huku akisema zawadi hiyo itaongeza ufanisi katika utendaji wao wa kazi

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI

June 28, 2025

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA

June 22, 2025

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

June 13, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202567

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202459
Don't Miss
Video Mpya

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

By Mbeya YetuJune 30, 20253

Mbeya, Juni 30, 2025 – Mwanasiasa na mpenda maendeleo, Mwakipesile, amerudisha rasmi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini. Hatua yake inaendelea kuonesha ushindani mkali ndani ya chama chake huku akiweka mbele ajenda za ushirikiano na maendeleo jumuishi kwa wananchi wa Mbeya Mjini.

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025

WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202567
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.