Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025

WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI

May 19, 2025

BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE

May 19, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?
  • WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI
  • BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE
  • RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
  • JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA
  • INEC YATAKA VIONGOZI MIKOA 16 KUSHIRIKI KUONDOA WALIOKOSA SIFA
  • NI KILIO!!WAENDESHA BAJAJI NA WAKAZI MTAA WA JUHUDI ILEMI JIJINI MBEYA WALILIA MIUNDO MBINU BARABARA
  • NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » BILIONI NNE KUANZA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA UKEREWE
Uncategorized

BILIONI NNE KUANZA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA UKEREWE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 13, 2024No Comments6 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya imetenga Tsh: Bilioni Nne katika bajeti ya Mwaka huu 2023/24 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Ukerewe Mkoani Mwanza ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za Afya ikiwemo huduma za Kibingwa.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Machi 13, 2024 wakati wa ziara katika Mkoa wa Mwanza alipoambatana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Stanslaus Nyongo.

“Tunamshukuru sana Rais wetu Mhe. Samia Suluhu Hassan, tunapoelekea Miaka Mitatu ya Rais Samia kwakweli amefanya mambo makubwa sana katika Sekta ya Afya ikiwemo kutenga fedha kiasi cha Shilingi Bilioni Nne kwa ajili ya kujenga Hospitali mpya ya Rufaa ya Ukerewe ambayo itakua na huduma zote ikiwemo huduma za Kibingwa.” Amesema Waziri Ummy

Na. WAF – Mwanza

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya imetenga Tsh: Bilioni Nne katika bajeti ya Mwaka huu 2023/24 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Ukerewe Mkoani Mwanza ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za Afya ikiwemo huduma za Kibingwa.

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Machi 13, 2024 wakati wa ziara katika Mkoa wa Mwanza alipoambatana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Stanslaus Nyongo.

“Tunamshukuru sana Rais wetu Mhe. Samia Suluhu Hassan, tunapoelekea Miaka Mitatu ya Rais Samia kwakweli amefanya mambo makubwa sana katika Sekta ya Afya ikiwemo kutenga fedha kiasi cha Shilingi Bilioni Nne kwa ajili ya kujenga Hospitali mpya ya Rufaa ya Ukerewe ambayo itakua na huduma zote ikiwemo huduma za Kibingwa.” Amesema Waziri Ummy

Amesema, fedha hizo zimepelekwa Mkoani watangaze tenda ya kupata mshauri na mkandarasi wa kujenga Hospitali hiyo ili watu wa Ukerewe wapate huduma zote za Afya karibu ikiwemo huduma za Kibingwa katoka Hospitali ya Ukerewe.

Waziri Ummy amesema kazi ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaonekana kwenye dawa, vifaa tiba, kwenye watumishi pamoja na maeneo mengine mengi makubwa aliyoyafanya katika Sekta ya Afya.

Aidha, Waziri Ummy ameutaka uongozi wa Mkoa wa Mwanza kuendelea kuimarisha miundombinu ya maji taka, maji safi pamoja na kutoa elimu ili wananchi wajikinge na magonjwa ya milipuko ikiwemo ugonjwa wa Kipindupindu.

“Niupongeze sana Mkoa wa Mwanza kwa mapambano dhidi ya ugonjwa wa Kipindupindu ambao uliukumba Mkoa huo na kupelekea watu Watatu kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo baada ya kuchelewa kwenda kwenye kituo cha kutolea huduma za Afya.” Amesema Waziri Ummy

Pia, Waziri Ummy amesisitiza kwa Halmashauri pamoja na wadau katika Sekta ya Afya kuajiri watumishi wa Afya wa mikataba ili kuongeza idadi ya watumishi na wananchi wapate huduma bora na kwa haraka.

Mwisho, Waziri Ummy ametoa rai kwa Watanzania kuzingatia ulaji wa vyakula ikiwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya sukari, chumvi a mafuta, kuacha tabia bwete, kufanya mazoezi ili kupunguza magonjwa Yasiyoambukiza ikiwemo Kisukari na Shinikizo la Juu la damu kwa kuwa maradhi hayo ni gharama kubwa kuyatibu.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

WATENDAJI UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA

May 1, 2025

SERIKALI ITAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI- MSIGWA.

April 29, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
Don't Miss
Video Mpya

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

By Mbeya YetuMay 20, 20250

#mbeyayetutv

WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI

May 19, 2025

BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE

May 19, 2025

RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA

May 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025

WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI

May 19, 2025

BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE

May 19, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.