Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
  • Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
  • Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani
  • Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati
  • VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.
  • Nilivyoshinda Bet Kubwa ya Ligi Kuu Uingereza
  • Nilivyolazimika Kuacha Kazi Nzuri Ili Kuhifadhi Ndoa Yangu Isivunjike
  • TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » *WIZARA YA MAJI YAIKOSHA KAMATI YA BUNGE KWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA ITAGUTWA* 
Uncategorized

*WIZARA YA MAJI YAIKOSHA KAMATI YA BUNGE KWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA ITAGUTWA* 

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 13, 2024Updated:March 13, 2024No Comments10 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji wa mradi wa maji wa Itagutwa ambao unahudumiwa jumla ya wananchi 1645 wa Kijiji cha Itagutwa. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Jackson Kiswaga (Mb) amesema utekelezaji wa mardi huo, utasaidia kutatua changamoto ya maji kwenye Kijiji cha Itagutwa pamoja na baadhi ya vitongoji vilivyopo kwenye vijiji vya Jirani
*WIZARA YA MAJI YAIKOSHA KAMATI YA BUNGE KWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA ITAGUTWA*

 

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeipongeza Wizara ya Maji kwa utekelezaji wa mradi wa maji wa Itagutwa ambao unahudumiwa jumla ya wananchi 1645 wa Kijiji cha Itagutwa.

Pongezi hizo zimetolewa leo Machi 13 2024 Mkoani Iringa baada ya Kamati hiyo kutembelea mradi, ambapo imejionea kazi zilizofanyika zikiwemo za ulazaji mabomba wa umbali wa kilometa 12.75 , Ujenzi wa vituo 11 vya kuchotea maji pamoja na ujenzi wa tanki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita elf 75.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Jackson Kiswaga (Mb) amesema utekelezaji wa mardi huo, utasaidia kutatua changamoto ya maji kwenye Kijiji cha Itagutwa pamoja na baadhi ya vitongoji vilivyopo kwenye vijiji vya Jirani. 

Akiwasilisha taarifa ya Mradi Meneja wa RUWASA wa Wilaya ya Iringa Mhandisi Exaud Humbo ameelezea kuwa kuwepo kwa mradi huo kutaongeza shughuli za uzalishaji kwa kuokoa muda wa wananchi waliokuwa wakiutumia kutafuta maji.

Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Maji, Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Wizara inaendelea na jitihada ili kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote.

Kadhalika Mahundi amemuagiza Meneja wa RUWASA wa Wilaya ya Iringa Mhandisi Exaud Humbo kuhakikisha anasimamia vijiji vya kipengele na Mapululu viweze kujengewa vituo sita vya kuchotea maji, huku vijiji viwili ikiwemo Kijiji cha Kipengele vijengewe vituo vitatu vya kuchotea maji na mpaka kufikia tarehe 30 Aprili, 2024 viwe vimekamilika.

Ikumbukwe kuwa mradi wa maji wa Itagutwa ulisainiwa tarehe tarehe 16 Januari 2023 na utekelezaji wake ulianza tarehe Mei 10 2023 na gharama ya mradi huo ni shilingi milioni 322.

 

Mwisho

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025224

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

By Mbeya YetuNovember 10, 20250

Kwa muda wa takriban miaka miwili, nilikuwa nikiamka kila siku na maumivu makali ya tumbo.…

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025

Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati

November 9, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani

November 9, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025224

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.