*MBUNGE MASACHE AUNGURUMA NKUNG’UNGU*
Lupa 📍
Mbunge wa lupa-chunya *Mh Masache Kasaka* ameambatana na *Mh Juma Homera* mkuu wa mkoa wa mbeya katika ziara ya wilaya ya chunya lengo kubwa ni kusikikiliza kero za wananchi wa katika kata na vitongoji mbali mbali na kuzitafutia ufumbuzi.
Katika ziara hiyo *Mh Masache kasaka* amezungumza na wananchi hao na kupokea kero zao ikiwemo barabara itokayo mwanzo mgumu kuunganisha ngwala itafikishwa kwa *Mh Samia Suluhu* ili iweze kupatiwa ufumbuzi.
Sambamba na hilo *Mh Masache kasaka* ameshukuru serikali inayoongozwa na Rais *Mh Dkt Samia Suluhu* kwa namna alivyoweza kutekeleza miradi mbali mbali katika kata hiyo ya nkung’ungu na kuweka mabadiriko ambayo awali hayakuwepo.
*KAZI NA UTU*
*CHUNYA TUNASONGA MBELE*