Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet

October 25, 2025

Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu

October 24, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

October 24, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet
  • Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu
  • Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29
  • MKONGOMAN ATOA USHUHUDA MZITO KUTOWEKA KWA AMANI NCHINI JAMHURI YA KONGO
  • DKT HARRISON MWAKYEMBE ATOA SOMO ZITO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
  • DC ITUNDA ATETA NA WANA VICOBA AWAPA NENO HILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKT 29
  • WANANCHI KATA IGANZO MTAA MWAMBENJA WAISHUKURU MBEYA UWSA KWA MRADI WA MAJITAKA
  • TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » AJALI YAUA WANAFUNZI WATANO MBEYA – SIMANZI YATAWALA
Video Mpya

AJALI YAUA WANAFUNZI WATANO MBEYA – SIMANZI YATAWALA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 26, 2025No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

WANAFUNZI WATANO WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI MBEYA.

Tarehe 26.07.2025 saa 11:30 alfajiri huko Kijiji cha Itumba kilichopo Kata ya Chalangwa, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya katika barabara kuu ya Mbeya – Chunya. Gari lenye namba za usajili T.194 DCE aina ya Yutong Bus kampuni ya Safina Coach lililokuwa likitokea Chunya mjini kuelekea Mbeya likiendeshwa na dereva aitwaye Abdul Hassan [28] mkazi wa Mbeya mjini liliwagonga watembea kwa miguu wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chalangwa waliokuwa wanakimbia mchaka mchaka (Jogging) na kusababisha vifo vya watu watano.

Waliofariki katika ajali hiyo wametambulika kwa majina ya Seleman Ernest @ msekwa, Samwel Zambi, Kelvin Festo Mwasamba, Hosea Manga Mbwilo na Amina Ndege Ulaya. Aidha, katika ajali hiyo majeruhi ni tisa kati yao saba wamelazwa wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Chunya na Kituo cha Afya Chalangwa ambao ni Benard Mashaka [17], Lilian Raymond [16], Kenedy Masoud [14], Vicent Baraka Malema [17], Siwema Nasibi Simbilo [17], Alex Aules Peter [17], Dethani Adam Charles [15] na wawili ambao wamepatiwa matibabu na kuruhusiwa ambao ni Getruda Mwakyoma [17], Farida Mwasongole [17].

Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva kushindwa kulimudu gari hivyo kupelekea kwenda kuwagonga wanafunzi waliokuwa wanafanya mazoezi ya kukimbia (Jogging). Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako wa kumtafuta dereva wa Basi hilo ambaye amekimbia mara baada ya kusababisha ajali.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kutoa wito kwa madereva kuwa makini na kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.

Imetolewa na:
Kaimu Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

October 24, 2025

MKONGOMAN ATOA USHUHUDA MZITO KUTOWEKA KWA AMANI NCHINI JAMHURI YA KONGO

October 23, 2025

DKT HARRISON MWAKYEMBE ATOA SOMO ZITO KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

October 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025194

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Uncategorized

Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet

By Mbeya YetuOctober 25, 20250

Kwa muda mrefu, Paul alikuwa mmoja wa wale vijana waliokuwa hawaamini kabisa katika bahati. Kila…

Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu

October 24, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

October 24, 2025

MKONGOMAN ATOA USHUHUDA MZITO KUTOWEKA KWA AMANI NCHINI JAMHURI YA KONGO

October 23, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet

October 25, 2025

Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu

October 24, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29

October 24, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025194

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.