Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI

August 28, 2025

Mwanamke miaka 50 aoana na kijana wa miaka 21 baada ya penzi lao kuvutia kijiji kizima kwa mshangao

August 27, 2025

KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS

August 27, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI
  • Mwanamke miaka 50 aoana na kijana wa miaka 21 baada ya penzi lao kuvutia kijiji kizima kwa mshangao
  • KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS
  • Pastor akimbia baada ya mke wake kuvamia madhabahu akilia
  • MAHUNDI Atamka Hadharani: Samia na Tulia Ushindi wa Kishindo 2025
  • Jinsi ya Kumkamata Mpenzi Wako Akiwa na Mpango wa Kando Bila Stress
  • Masache Kasaka achukua fomu ya Ubunge Lupa Chunya aingia site kibabe
  • MAHUNDI: CHAMA CHA MAPINDUZI NA MPEPERUSHA BENDERA MWALUNENGE NDIYO HABARI YA MBEYA MJINI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » AJALI YAUA WANAFUNZI WATANO MBEYA – SIMANZI YATAWALA
Video Mpya

AJALI YAUA WANAFUNZI WATANO MBEYA – SIMANZI YATAWALA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJuly 26, 2025No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

WANAFUNZI WATANO WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI MBEYA.

Tarehe 26.07.2025 saa 11:30 alfajiri huko Kijiji cha Itumba kilichopo Kata ya Chalangwa, Tarafa ya Kiwanja, Wilaya ya Chunya katika barabara kuu ya Mbeya – Chunya. Gari lenye namba za usajili T.194 DCE aina ya Yutong Bus kampuni ya Safina Coach lililokuwa likitokea Chunya mjini kuelekea Mbeya likiendeshwa na dereva aitwaye Abdul Hassan [28] mkazi wa Mbeya mjini liliwagonga watembea kwa miguu wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chalangwa waliokuwa wanakimbia mchaka mchaka (Jogging) na kusababisha vifo vya watu watano.

Waliofariki katika ajali hiyo wametambulika kwa majina ya Seleman Ernest @ msekwa, Samwel Zambi, Kelvin Festo Mwasamba, Hosea Manga Mbwilo na Amina Ndege Ulaya. Aidha, katika ajali hiyo majeruhi ni tisa kati yao saba wamelazwa wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Chunya na Kituo cha Afya Chalangwa ambao ni Benard Mashaka [17], Lilian Raymond [16], Kenedy Masoud [14], Vicent Baraka Malema [17], Siwema Nasibi Simbilo [17], Alex Aules Peter [17], Dethani Adam Charles [15] na wawili ambao wamepatiwa matibabu na kuruhusiwa ambao ni Getruda Mwakyoma [17], Farida Mwasongole [17].

Chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva kushindwa kulimudu gari hivyo kupelekea kwenda kuwagonga wanafunzi waliokuwa wanafanya mazoezi ya kukimbia (Jogging). Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea na msako wa kumtafuta dereva wa Basi hilo ambaye amekimbia mara baada ya kusababisha ajali.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kutoa wito kwa madereva kuwa makini na kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika.

Imetolewa na:
Kaimu Kamanda wa Polisi,
Mkoa wa Mbeya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI

August 28, 2025

MAHUNDI Atamka Hadharani: Samia na Tulia Ushindi wa Kishindo 2025

August 26, 2025

Masache Kasaka achukua fomu ya Ubunge Lupa Chunya aingia site kibabe

August 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025204

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024182

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202592

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202486
Don't Miss
Video Mpya

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI

By Mbeya YetuAugust 28, 20250

#mbeyayetutv

Mwanamke miaka 50 aoana na kijana wa miaka 21 baada ya penzi lao kuvutia kijiji kizima kwa mshangao

August 27, 2025

KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS

August 27, 2025

Pastor akimbia baada ya mke wake kuvamia madhabahu akilia

August 27, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA BAHATI NDINGO ALIPOKUWA AKIREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MBARALI

August 28, 2025

Mwanamke miaka 50 aoana na kijana wa miaka 21 baada ya penzi lao kuvutia kijiji kizima kwa mshangao

August 27, 2025

KAILIMA AFUNGA KIKAO CHA UPANGAJI WA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS

August 27, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025204

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024182

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202592
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.