Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

KAMPENI UBUNGE CCM MBEYA MJINI, NI MCHUANO MKALI KWA WAGOMBEA ZIMEBAKI SIKU MBILI

August 1, 2025

Walisema kubashiri ni kupoteza muda, sasa mimi ndio nawakopesha pesa za kodi

August 1, 2025

MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO

August 1, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • KAMPENI UBUNGE CCM MBEYA MJINI, NI MCHUANO MKALI KWA WAGOMBEA ZIMEBAKI SIKU MBILI
  • Walisema kubashiri ni kupoteza muda, sasa mimi ndio nawakopesha pesa za kodi
  • MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO
  • Mama mkwe alisema sitamzalia mwanae, leo ndio ananiletea zawadi kila wiki
  • UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI
  • WATANZANIA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2025
  • Sikuwahi kuwaza kama nitakuja kuolewa katika umri huu
  • Nilikuwa naishi kwenye banda la mabati sasa majirani wanapiga picha kwenye nyumba yangu ya ghorofa
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO
Video Mpya

MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 1, 2025No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Dkt. Godlove Mbwanji, kwa kushirikiana na Makamu wa Rais wa taasisi ya Smile Train Afrika, Bi. Nkeiruka Obi, leo Agosti 1, 2025, wamezindua rasmi chumba cha upasuaji kwa watoto kilichokarabatiwa na kuwekewa vifaa vya kisasa.

Akizungumza katika hafla hiyo, Dkt. Mbwanji amesema chumba hicho kina mazingira rafiki na ya kuvutia kwa watoto, hatua itakayosaidia kupunguza hofu na kuongeza furaha kwa watoto wanaohitaji huduma za upasuaji.

Kwa upande wake, Bi. Obi amesema Smile Train imekuwa ikitoa huduma nchini tangu mwaka 2006, ambapo zaidi ya watoto 15,000 wamenufaika na mafunzo kutolewa kwa zaidi ya wahudumu wa afya 1,000.

Dkt. Amosi Zakaria, Daktari Bingwa wa Usingizi kwa watoto, ameishukuru Smile Train kwa kufanikisha ukarabati huo na kusema sasa wanaweza kufanya upasuaji mkubwa kwa watoto wa umri wowote.

Tangu kukamilika kwa ukarabati huo, tayari watoto 210 wamefanyiwa upasuaji.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

KAMPENI UBUNGE CCM MBEYA MJINI, NI MCHUANO MKALI KWA WAGOMBEA ZIMEBAKI SIKU MBILI

August 1, 2025

UTAINJOI VIJEMBE NA UTANI BAHATI NDINGO,MWAKABWANGA, MUBALI KAMPENI WATEULE WATANO JIMBO LA MBARALI

July 31, 2025

“MAHUNDI: Uongozi Wangu ni kwa Wanawake wa Mbeya – Asanteni kwa kuniamini tena

July 31, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024178

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025103

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202581
Don't Miss
Video Mpya

KAMPENI UBUNGE CCM MBEYA MJINI, NI MCHUANO MKALI KWA WAGOMBEA ZIMEBAKI SIKU MBILI

By Mbeya YetuAugust 1, 20252

#mbeyayetutv

Walisema kubashiri ni kupoteza muda, sasa mimi ndio nawakopesha pesa za kodi

August 1, 2025

MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO

August 1, 2025

Mama mkwe alisema sitamzalia mwanae, leo ndio ananiletea zawadi kila wiki

August 1, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

KAMPENI UBUNGE CCM MBEYA MJINI, NI MCHUANO MKALI KWA WAGOMBEA ZIMEBAKI SIKU MBILI

August 1, 2025

Walisema kubashiri ni kupoteza muda, sasa mimi ndio nawakopesha pesa za kodi

August 1, 2025

MZRH YAWEKA HISTORIA KWA KUZINDUA CHUMBA CHA UPASUAJI KWA WATOTO

August 1, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024178

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025103

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202485
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.