Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee
  • Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA
  • RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania
  • Nilivyolipizwa Kisasi na Aliyeniumiza Baada ya Kunitendea Vibaya, Sasa Anaomba Msamaha Kila Siku
  • Nilivyomrudisha Mume Wangu Baada ya Miaka Mitatu ya Kuachana, Sasa Hachoki Kuniambia ‘You’re My Destiny
  • Madaktari Walishangaa Nilivyopona Maradhi Ambayo Walikuwa Wamesema Hayatibiki
  • Nilivyomfanya Mume Wangu Kusema ‘Baby Siwezi Tena’
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa Katika Makabiliano na Polisi Mbeya
Video Mpya

Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa Katika Makabiliano na Polisi Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 29, 2025No Comments28 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mbeya, Septemba 28, 2025 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikisha operesheni maalum iliyopelekea kuuawa kwa watuhumiwa waliodaiwa kuhusika na utekaji na mauaji ya kikatili ya Shyrose Michael Mabula [21], mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Mzumbe Ndaki ya Mbeya, Kitivo cha Sheria.

Shyrose aliripotiwa kutekwa nyara Septemba 14, 2025 na mwili wake kupatikana Septemba 16 usiku katika Mtaa wa Morovian, Kata ya Isyesye Jijini Mbeya ukiwa umechomwa moto. Uchunguzi uliofanywa na Polisi uliwakamata watuhumiwa watatu: Marwa Nyahega John [25], Edward Christopher Kayuni, na Websta William Mwantebele [27], ambao walikiri kupanga njama za kumteka kwa lengo la kujipatia fedha kutoka kwa baba yake, Dkt. Mabula Michael.

Kwa mujibu wa Polisi, baada ya kushindikana kwa mpango huo, walimnywesha sumu ya kuulia magugu aina ya Round Up bila mafanikio, kisha wakamnynonga kwa kamba na kuuchoma moto mwili wake.

Mnamo Septemba 27, 2025, wakati wa operesheni katika Kijiji cha Chalangwa, wilayani Chunya, watuhumiwa Edward na Websta walijaribu kukimbia na kuwashambulia askari kwa kisu. Polisi walifyatua risasi za tahadhari, lakini walipokaidi amri, walijeruhiwa kwa risasi na kufariki dunia wakipelekwa hospitalini. Mtuhumiwa wa tatu, Marwa, naye alifariki baada ya kujirusha kutoka kwenye gari la Polisi wakati akipelekwa kuonyesha vielelezo.

Katika upekuzi, Polisi walipata pingu mbili, vitambulisho feki vya JWTZ, simu zenye picha za utekaji na mawasiliano yao, pamoja na taarifa kwamba kidole na nguo za marehemu vilikuwa vimepelekwa kwa mganga wa jadi kwa ajili ya zindiko. Mganga huyo kwa sasa anatafutwa.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeonya vijana na wananchi kwa ujumla kuacha tamaa ya mali kwa njia za haramu, na kusisitiza kuwa uhalifu haulipi na mkono wa sheria utawafikia popote pale.

Imetolewa na:
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mbeya

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Ipyana wa CHAUMMA Awasha Moto Uyole — “Mabadiliko Bila Woga!”

October 15, 2025

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI FOREST JIJINI MBEYA

October 14, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025181

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

By Mbeya YetuOctober 20, 20251

Wanachama wa CCM kutoka Mbeya Mjini na Vijijini wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Ndege wa Songwe kumlaki Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitokea mkoani Rukwa kuelekea Dar es Salaam.

Wanachama hao walikaa uwanjani tangu saa 1 asubuhi hadi jioni wakisubiri kwa hamasa kumuona kiongozi wao, wakisema wanavutiwa na siasa za hekima, upendo na maendeleo za Dkt. Samia.

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025

RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania

October 18, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025181
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.