Kwa muda mrefu nilikuwa nimepoteza amani ndani ya ndoa yangu. Mume wangu alianza kubadilika kimapenzi, akawa anakaa kimya, akirudi nyumbani akiwa amechoka kila mara. Nilijua tatizo halikuwa kazi wala msongo wa mawazo, bali mimi mwenyewe.
Mwili wangu hakuwa sawa na tayari, hivyo kila jaribio la kuungana lilikuwa mateso zaidi ya raha, na hilo lilianza kuniumiza zaidi kiakili kuliko kimwili.
Nilianza kujihisi kama nimezeeka kabla ya wakati wangu. Marafiki wangu walikuwa wakijisifia jinsi wanavyofurahia ndoa zao, lakini mimi nilikuwa na siri nzito moyoni.
Mume wangu alianza kulala sebuleni, akitoa visingizio vya kazi nyingi. Nilijua mapenzi yalikuwa yanatoweka polepole. Nililia mara nyingi usiku, nikijiuliza ni wapi nilikosea. Nilihisi kama kila kitu kilikuwa kimeharibika kabisa. Soma zaidi hapa